Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kama ndege wa angani
Samaki wa majini
Nami Mungu kanipa pa kukaa kando yako
Nina furaha na amani mapenzi ya dhati
Unayonipa sijawahi ona

And I need you kifo cha mende chali (eeehee)
Body to body (eeehee)
Monday to Monday
And I need you body to body (eeehee)
Monday to Monday (eeehee)
Oh baby do me like it's my birthday
Leo una nini Mama Mchungaji? Kuna kitu Baba Mchungaji leo kafanya si bure!

Stay blessed. Nothing like true love in this world tena umpate mnayependana, kuchukuliana madhaifu yenu na kusameheana huku mkimtanguliza Mungu mbona pepo mtaiona hapa hapa?

Ni Monday to Monday non stop yaani
 
Mie nakula

Mgagani

Limbe na

Nyanya ntole

Screenshot_20211112-152800_Instagram.jpg
 
Leo una nini Mama Mchungaji? Kuna kitu Baba Mchungaji leo kafanya si bure!

Stay blessed. Nothing like true love in this world tena umpate mnayependana, kuchukuliana madhaifu yenu na kusameheana huku mkimtanguliza Mungu mbona pepo mtaiona hapa hapa?

Ni Monday to Monday non stop yaani
Hamna hata; nimekukumbushia tu wimbo wako after ulivyoutaja
 
Back
Top Bottom