Kongoro ndo kwangu, miguu ya kuku na utumbo, mie wa kienyeji bhanaaa, we babuuu hujui?Huyo mjukuu wangu ni shida. Anapita mpaka na mapene ya sisi wastaafu dah!
Nataka nimpikie supu ya kongoro hapa atulize akili kidogo japo sina uhakika kama anawezana na kongoro maana ni wa kishua
View attachment 2274387
Mnooo tena wanafunzi wa kiume wanalia tyuuh.Kwa hiyo wazee Wanafaudu hela za kustaafia na watoto wa chuo? Basi sawa
NdyooooohHold on
una Maanisha urefu wa ruler ya cm 30 ukitoa cm5?ahsante studio
Huyu Depal na mwenzie cocastic wanaishi ktk fantasy,ni watoto wasamehewe TuDah.. na sie 25 tunaisaka 26 inakuwaje ..
Depal .. mmetoka ubaguzi wa tall dark handsome hela mmeahamia kwenye age kweli nyie noma
Nakiri sijadharau wanaume πYeeeeh yeeeh,, sema nn sister D,, never underestimate a man,, we are full of surprises
Huu ni wimbo mama maleziii?In Harmojala mood
Kwa pamoja tutazame hapa tulipo,
Panatuonyesha picha ya mbali huko tuendako mpenzi.
Mengi utasikia yakisemwa usiyaweke moyoni,
Kuteleza inatokea mambo ya ndani usiyaweke hadharani.
Kama ndege juu turuke angani wote
Unishike nikushike ili tuwe wote mpenzi
Mvua ikinyesha iwe baraka ya penzi letu, lolote likitokea basi tuanguke na tufe wote.
Wengine amani tuliyonayo kidogo wanaiota hawana,
Tena pengine pesa si tatizo vipigo, kati yao upendo hakuna
Heri yetu sisi
Tushukuru kwa yote(tushukuru kwa yote)
Tushukuru kwa yote kipenzi changu
Tushukuru kwa yote
Asiyenipenda hakupendi hata siku moja,
Siku tunaachana ndo wanachongoja
Asiyenipenda hakupendi hata siku moja
Siku tunaachana ndo wanachongoja
Juzi nilikosea, nikakukuta unalia machozi Nilipokuomba radhi ukaelewa, samahani ikaokoa penzi.
Wengine amani tuliyonayo kidogo wanaiota hawana tena pengine pesa si tatizo vipigo kati yao upendo hakuna
Heri yetu sisi
Tushukuru kwa yote(tushukuru kwa yote)
Tushukuru kwa yote kipenzi changu
Tushukuru kwa yoteView attachment 2274391
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeh Tushukuru kwa yote wa Lameck Ditto. Kitambo sana, ulikuwa unanyonya.π€£π€£Huu ni wimbo mama maleziii?
πππππ Nawaonaga tu pale ibadani .. na sie vijana tunawakazia kishenzi hakuna kuwalegezea waende kwa age mate wao
Kheeeeeh makubwwaa, maana sijui hili.Eeh Tushukuru kwa yote wa Ditto. Kitambo sana, ulikuwa unanyonya.
Mzuri sana, utafuteKheeeeeh makubwwaa, maana sijui hili.
Nlompata manzese anamwaga mabusu uku aigooπfanya kunichumu na hapa hapa kimdomoni kidogo uniachie lipstick color πππ
π π ππππππ Nawaonaga tu pale ibadani .. na sie vijana tunawakazia kishenzi hakuna kuwalegezea waende kwa age mate wao
Sasa umepanick nini ππ
ππππNlompata manzese anamwaga mabusu uku aigooπ
Utakuja kufiwa na vibabu lodge mjukuu wangu upate mikosi. Kuna kamoja kalizima mwezi Mei yaani ilikuwa aibu tupu maana kalikuwa kanaheshimika sana.Si inategemea na ntu na ntu, wastaafu wana shida gan? Km urungu wake unafanya kazi na mapene anayo, kwann nivunge? Namsanukia na kupita naye hiviii.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Utakuja kufiwa na vibabu lodge mjukuu wangu upate mikosi. Kuna kamoja kalizima mwezi Mei yaani ilikuwa aibu tupu maana kalikuwa kanaheshimika sana.
Kamebeba mzinga wa supa dupa yutong tena imeolewa kakapiga viagra moja kakaona mtambo haujasimama sawasawa kakaongezea nyingine. Pfuuu kakazima mazima. Yutong ikapaniki hiyooo ndukii na taulo tu kwenda front desk. Aibuu tupu yaani. Nenda navyo polepole mjukuu vinginevyo kwa mizagamuo yako unayosimuliaga humu ni suala la muda tu kuzimikiwa na hivi vibabu
Nmekufaππππ
Ushaanza kuoza au bado?Nmekufa