Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

yaan sijawahi kupika pilau likawa zuri, yaan lazima kuna sehemu nitakosea,

Hyo siku nimejikoki kutoa pilau la maana, bhana wee nikakalisha tako chini nitoe food ya kwenda, fanya mambo yote si nkajisahau kuwa chumvi nilitia kwa viungo, nilivoweka maji nkaweka tena chumvi, kilichofuata nyama lost ililiwa kavu na soda.

Yaan sahivi ndo naweza kidg, pilau sijawahi kupatia, sio siwezi tatizo kupatia hapo mtihani.
😂😂😂😂 pia kwenye kupika umakini na kumbukumbu vinatakiwa,, me nilishaivisha wali usiokuwa na chumvi…

Sahivi ukijaribu unatoboa
 
Back
Top Bottom