Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Monday inspo
Aunt jujuuuuuh
Wenzio Vocha wanatuma hapa, sasa wee no ya nn?Coca tuma namba yako,,kwan ukinitumia namba yako kuna ubaya gan!nambie nijue meme







Shangazi




Kuolewa na kutokuolewa Viko kwenye kinywa changu.nachunga sana cha kuwajibuHuwa unawajibu vipi?
Salama jirani...uko salama?
Wee utakuja uanguke siku, vile viatu vya jana nilivaa na ile gauni, mbna miguu ilichoka, afu sasa nilivaa kwa dkk 20 tyuuh.Monday inspoView attachment 2274046





🤣🤣🤣😁🤣🤣🤣🤣phaller sana cocasticLabda chumvi, ila sio sukari.![]()
phaller sana cocastic




kipenziiiiii, nivumilie akili angu ina jisett enyewe automatically, ko ikiamua kuwa off bas ndo purukushan hivyo.Ndo maana wanaendelea kukuuliza, unawapa jibu 1 la kwenda, hawaulizi tena.Kuolewa na kutokuolewa Viko kwenye kinywa changu.nachunga sana cha kuwajibu
“sijapata!nikipata nitaolewa”
Labda chumvi, ila sio sukari.![]()
Wewe ulivyo na hekaheka nyingi, uwe unavaa tu flats. Ile tarehe 9 kwa kweli pambana tuWee utakuja uanguke siku, vile viatu vya jana nilivaa na ile gauni, mbna miguu ilichoka, afu sasa nilivaa kwa dkk 20 tyuuh.
![]()
Ila kuna watu jamani daah...Kuolewa na kutokuolewa Viko kwenye kinywa changu.nachunga sana cha kuwajibu
“sijapata!nikipata nitaolewa”
Nilitaka kuvunja mkuu wallah😅Monday inspoView attachment 2274046
Wee boss ndo nn hivyo sasa?Here I am.........
Here I am..........
How do you do?![]()



