Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapo nimekusoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We mtu mmoja/wawili nyama ni robo tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe pilau masala n teaspoon 2, mie nawekaga had 6, bas pilau linachachia hadi nadhanigi ni fake, kumbe nazidisha, kupika kazi yaan,

Tena kwa mult cooker ndo kabisa naunguza, mara nyingi natumia gas.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe pilau masala n teaspoon 2, mie nawekaga had 6, bas pilau linachachia hadi nadhanigi ni fake, kumbe nazidisha, kupika kazi yaan,

Tena kwa mult cooker ndo kabisa naunguza, mara nyingi natumia gas.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 we una balaa jamani

Cooker nenda sawia na maji.. hutounguza
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we una balaa jamani

Cooker nenda sawia na maji.. hutounguza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan sijawahi kupika pilau likawa zuri, yaan lazima kuna sehemu nitakosea,

Hyo siku nimejikoki kutoa pilau la maana, bhana wee nikakalisha tako chini nitoe food ya kwenda, fanya mambo yote si nkajisahau kuwa chumvi nilitia kwa viungo, nilivoweka maji nkaweka tena chumvi, kilichofuata nyama lost ililiwa kavu na soda.

Yaan sahivi ndo naweza kidg, pilau sijawahi kupatia, sio siwezi tatizo kupatia hapo mtihani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom