Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Ooh Asante sanaSalama rafiki
Nafurahi kukuona
Jioni hii hapa
Nimefurahi pia rafiki
Ooh Asante sanaSalama rafiki
Nafurahi kukuona
Jioni hii hapa
Ukaamua kumsimanga sio[emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwan jana sikusema, watu km wee mnakuwa na ukuni wa kusogeza kizazi nyuma. Niliweka wazi.
Asante shangazi [emoji1]japo ya kushtukiza nakusubir hapaShangaziiii anguuuuu huyooo
Tumacho sasa, wow!!!
Mzureeee wee aunt. [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
KaribuOoh Asante sana
Nimefurahi pia rafiki
Kupunguza ukameeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapo sio shuleni kwamba kengele ya darasani..ule ni mchakato wa kupunguza utelezi mwilini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo tu
Usijitoe ufahamu bhana
Kizuri unakula na nduguzo
Sisi ndugu hapa ujue
Asante [emoji1545]Karibu
Sio kweli..ondoa hofu kabisa zile ni nyama tu zinagusana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwan jana sikusema, watu km wee mnakuwa na ukuni wa kusogeza kizazi nyuma. Niliweka wazi.
Kheeeeeh tunaishi na ma boss humu ndani woiiiiiiih, hadi nimeogopa lol.
Beautiful
Hii case sasa, Duuuh unataka JF izizime, watu watadhan kweli wee.Baby naomba turudiane [emoji12]
Au bhas
Hii case sasa, Duuuh unataka JF izizime, watu watadhan kweli wee.
Hii case sasa, Duuuh unataka JF izizime, watu watadhan kweli wee.
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Beautiful
Portable kweli si mchezo
Ndio hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee Wige eti nn? Uwiiiih.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usijar bhana ni chit chat tyuuh, tunapita na beat linavotaka.Nahisi ni hiki Ki K Vant, never mind [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa nimekunyima nn mie?Ndio hivyo
Ya nini
Tunyimane
Eti coca[emoji2369]
Aunt umefuta looh[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Mie nabebwa juu juu huku nalilia ukuni upo kunako, mie naimba na kusifu, mwenzangu anapiga kinanda na gitaa.
Mambo buli buli. Weraaaaaaah.