Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
dah! Tupo wengi.. TID alituonea mbele wimbo unaishiNostalgia 🙂
dah! Tupo wengi.. TID alituonea mbele wimbo unaishiNostalgia 🙂
Aisee,wanaishi wapi hawa?😄😄😄 acha tu.. unafurahi hata kumtazama tu.. ona haka
View attachment 2273283
TID alikuwa Top In Dar kweli, 🔥🔥🔥dah! Tupo wengi.. TID alituonea mbele wimbo unaishi
Huo wimbo huwa upo, kuna time .. nikiwa sielewi, nina play unajirudia rudia.. flesh tu.. maisha ya story na story huenda kukamilisha ya mbeleTID alikuwa Top In Dar kweli, 🔥🔥🔥
Hatari sana Kaka.Top three yangu.. 😄😄😄 hawa wapo mtaani na jf humu humu ndio kina Nuzulati hao
View attachment 2273292
Mwanamke kuonekana kupendeza sana sio lazima aachie maungo nje.. ona hakaHatari sana Kaka.
Nakubali
🔥🔥🔥🔥 Aisee ni wazuri sana.
Nyimbo za kitambo mpaka albums ninazo.Huo wimbo huwa upo, kuna time .. nikiwa sielewi, nina play unajirudia rudia.. flesh tu.. maisha ya story na story huenda kukamilisha ya mbele
Chocolate color naemsikia ndio huyu sasa, hatari 🙂, ni kweli mkuu.Mwanamke kuonekana kupendeza sana sio lazima aachie maungo nje.. ona haka
View attachment 2273301
Watoto wazuri hatari, 🔥🔥🔥Post M-alone chukua vya mwisho ivyoo .. niingie sasa kwenye majukumu ya kimataifa
View attachment 2273305
View attachment 2273306
Barua " basi usimalizie kusoma, kwani ukiendelea moyo wangu utauchoma, kwa kuondokea na huyo wangu mpenzi.. moyo wangu umejawa na simanzi " 😄😄😄😄 alafu kulikuwa na Boss waliyo imba Solothang, Juma nature nafiriki na Ferouz.. zamani walikuwa wana tungo nzuriNyimbo za kitambo mpaka albums ninazo.
Nilikua na Computer ya chogo, kitambo saaana, Nilikuwa High School.
Hio nyimbo ilikuwa kwenye album yake ikiitwa sauti ya dhahabu
Albums nyingine nilkuwa nazo na zipo mpaka leo kwenye PC yangu hio na bado nzima.
-Album ya Prof Jay Machozi jasho na damu Early 2000's baada ya kuvunjika crew yao Hard Blastaz, ilikuwani bonge moja ya album mpaka leo hii.
-Kuna album ya Ferouz ikiitwa Safari, hapo kuna nyimbo kama kamanda, barua n.k
-King Crazy Gk album yake nitakupa nini mama, ikiwa na nyimbo kama hii leo, nitakufaje ilikuwa ni hatari 🔥🔥🔥
-Marehemu Albert Mangwair na album yake AKA mimi, 2003 , humo kuna madude kama She Got A Gwan, Ghetto langu, AKA mimi n.k jamaa alikuwa mbaya saaana 🔥🔥 almost nyimbo zte humo zilikuwa hits.
Msalimie shemegiHabari za usiku wadau
Sawasawa..zitafika.Msalimie shemegi