Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Alikufanyaje jamani? Anajuta huko alipo
Nipo zangu venue za masters, nachabo watu, kumbe bhana yeye huwa ananionaga mara nyingi, kanifata nimemsalimia kaniuliza nimefata nn pale nkamjibu kuna mtu nmemfata, akanambia yupi hebu mtaje,

Khaaah nkaona huyu anataka kunizingua, nkamuambia namsubir mwenyew, si akaanza kuleta pigo zake za kiwaki, nkaamsha kichaa changu, nimemuoshaa, na nimemuambia akiniona aufyate kabisaa, na sitokoma kwenda pale ko ategemee kuniona sanaa.

 
Back
Top Bottom