Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Si ulimuona ya siku ile?
Hapana. Sijabahatika kumuona. Nitazipitia za siku zote kwa software na nitamuona tu kama alikuwepo. We sema mjanja ukiselfika humu miemoji kama yote vinginevyo na wewe ningekudabua tu kama unahudhuria hii semina [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
 
Alikufanyaje jamani? Anajuta huko alipo
Nipo zangu venue za masters, nachabo watu, kumbe bhana yeye huwa ananionaga mara nyingi, kanifata nimemsalimia kaniuliza nimefata nn pale nkamjibu kuna mtu nmemfata, akanambia yupi hebu mtaje,

Khaaah nkaona huyu anataka kunizingua, nkamuambia namsubir mwenyew, si akaanza kuleta pigo zake za kiwaki, nkaamsha kichaa changu, nimemuoshaa, na nimemuambia akiniona aufyate kabisaa, na sitokoma kwenda pale ko ategemee kuniona sanaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom