Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Ukifanya nini?Hata mimi
Nakesha
Ukifanya nini?Hata mimi
Nakesha
Waviziaji kama kawaidaa😁
Unaweza kunielekeza jinsi ya kupika kabeji ikatokelezea kama nyama?Mmh sasa wewe kuwa kule inamuhusu nini jamani? Mweeh pole yake

Mama mchungaji ni bahati mbaya sijakutag tuu ila niliamini hukosi maana wewe ni mtaalam wa kuzinyaka🤣Nkamu huwa unanivizia nikitype? Nikirudi nyoyaaaaa🤣🤣🤣
Kwa nini?
Unahudhuria hii semina?
Umekwenda siku zipi?
Ukiniambia naweza kubahatisha hata bila sura yako naweza kukudabua aisee.
Kama unabisha tupinge!

Zipo nyingi.
Naweza kuanza upya nikatupa hii niliyoanza nayo. We tiririka tu recipe halijaharibika neno. Nina rundo la kabeji hapa![]()



bado sijafikia hatua ya kutoa recipe. OhooooNaku zoom tu
Sema nini
Upo pahala salama
MnoTumefeli sana!
Nimemshangaa, yaan kanitibua huyu dada lol.Mmh sasa wewe kuwa kule inamuhusu nini jamani? Mweeh pole yake
Basi tusichekane...bado sijafikia hatua ya kutoa recipe.
Najipikia tyuuh
SelfikaNambie mdogo angu
Nasubiri nikuoneUkifanya nini?
Ikate ndogo ndogo kwanza, ukimaliza uniambie.Unaweza kunielekeza jinsi ya kupika kabeji ikatokelezea kama nyama?
Friji iko empty na sitoki sababu kuna mvua. Nina kabeji kama sita hapa ndani. Nifanyeje sasa jamani?
Eeh ndiyo uzi wa selfikaSelfika
Kwa hiyo unatuhakikishia jimbo halijaenda kwa nshomile?Hamjafeli wasukuma
Wasikutishe hao![]()



Huyu kaogopa usimchukulie bwana.
Pisi kali mnachukuliwa kama threat po pote mnaopenda![]()




aaah wanaume wa masters siwawezi, ukichaa wangu nawezana na degree,