Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,403
Mimi hata ningekuwepo, usingeweza kuniona, wala kunigunduaHapana. Sijabahatika kumuona. Nitazipitia za siku zote kwa software na nitamuona tu kama alikuwepo. We sema mjanja ukiselfika humu miemoji kama yote vinginevyo na wewe ningekudabua tu kama unahudhuria hii semina![]()
Wakora waitu
Ndo kina Nani hao wige
Kwa nini?Mimi hata ningekuwepo, usingeweza kuniona, wala kunigundua
Nkamu huwa unanivizia nikitype? Nikirudi nyoyaaaaa🤣🤣🤣Selfika na #airtel#
*104*22281018557003#
Mama mchungajiMbona baba koku![]()


NiHata sikufikiria hivyo maana jimbo lilikuwa wazi wiki jana tu. Nshomile gani tena katuzidi kete Wasukuma? Halafu jimbo tulipewa kabisa dah!![]()
Kukata kwenyewe ushaharibu woiiiiih






Tumefeli sana!Ni
Afande Kalokora
Hapana, sijahudhuria physically.Kwa nini?
Unahudhuria hii semina?
Umekwenda siku zipi?
Ukiniambia naweza kubahatisha hata bila sura yako naweza kukudabua aisee.
Kama unabisha tupinge!
Zipo nyingi.Kukata kwenyewe ushaharibu woiiiiih![]()


Naku zoom tuJmn jmn wasukuma mko wapi
Mmh sasa wewe kuwa kule inamuhusu nini jamani? Mweeh pole yakeNipo zangu venue za masters, nachabo watu, kumbe bhana yeye huwa ananionaga mara nyingi, kanifata nimemsalimia kaniuliza nimefata nn pale nkamjibu kuna mtu nmemfata, akanambia yupi hebu mtaje,
Khaaah nkaona huyu anataka kunizingua, nkamuambia namsubir mwenyew, si akaanza kuleta pigo zake za kiwaki, nkaamsha kichaa changu, nimemuoshaa, na nimemuambia akiniona aufyate kabisaa, na sitokoma kwenda pale ko ategemee kuniona sanaa.
![]()
Kwa nini jamani?Hapana, sijahudhuria physically.
Nambie mdogo anguMama mchungaji
Wewe nae

Huyu kaogopa usimchukulie bwana.Nipo zangu venue za masters, nachabo watu, kumbe bhana yeye huwa ananionaga mara nyingi, kanifata nimemsalimia kaniuliza nimefata nn pale nkamjibu kuna mtu nmemfata, akanambia yupi hebu mtaje,
Khaaah nkaona huyu anataka kunizingua, nkamuambia namsubir mwenyew, si akaanza kuleta pigo zake za kiwaki, nkaamsha kichaa changu, nimemuoshaa, na nimemuambia akiniona aufyate kabisaa, na sitokoma kwenda pale ko ategemee kuniona sanaa.
![]()


Yeah nipo mbaliKwa nini jamani?
Mwakasege kabisa unakosa kuhudhuria?
Au uko mbali Mwakaleli?