Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Anayejua kupika kabeji ikawa kama unakula nyama arushe recipe hapa pulizi
20220625_170231.jpg
 
Nipo zangu venue za masters, nachabo watu, kumbe bhana yeye huwa ananionaga mara nyingi, kanifata nimemsalimia kaniuliza nimefata nn pale nkamjibu kuna mtu nmemfata, akanambia yupi hebu mtaje,

Khaaah nkaona huyu anataka kunizingua, nkamuambia namsubir mwenyew, si akaanza kuleta pigo zake za kiwaki, nkaamsha kichaa changu, nimemuoshaa, na nimemuambia akiniona aufyate kabisaa, na sitokoma kwenda pale ko ategemee kuniona sanaa.

Mmh sasa wewe kuwa kule inamuhusu nini jamani? Mweeh pole yake
 
Nipo zangu venue za masters, nachabo watu, kumbe bhana yeye huwa ananionaga mara nyingi, kanifata nimemsalimia kaniuliza nimefata nn pale nkamjibu kuna mtu nmemfata, akanambia yupi hebu mtaje,

Khaaah nkaona huyu anataka kunizingua, nkamuambia namsubir mwenyew, si akaanza kuleta pigo zake za kiwaki, nkaamsha kichaa changu, nimemuoshaa, na nimemuambia akiniona aufyate kabisaa, na sitokoma kwenda pale ko ategemee kuniona sanaa.

Huyu kaogopa usimchukulie bwana.

Pisi kali mnachukuliwa kama threat po pote mnaopenda
 
Back
Top Bottom