spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,530
Anavuta huyuDogo umeranduka 😂😂😂
Anavuta huyuDogo umeranduka 😂😂😂
Hahahhaaaa!!
Wee weekend umeendaje pekee yako? Ndo maana nakununiaga, ushougaa gan huu, au ushouga mboga?![]()






!!! Nisharudi shos tulienda kama staff tu shos akee!Pole na ubize mamaaa na Karibu tena na tena selfika dear!Ubize huu acha kabisa... nimepitwa na Ile selfie yako ya siku ile kipenzi
My gosh ..Naanza kuku cc.Jf Una warembo bana

😂😂aah wapiNgoja na mie nikutumie nauli uje tena huku morena.
Alafu nilijua tuu utakuwa ishomile....kumbe wee ni wale ambao mnaelewa chingreza zaidi🤣🤣🤣🤣😂😂aah wapi
Kwamba mie naenda Kwa yoyote atakaetuma?🤔🙆
Hapanaaaa,Kwa anaenihusu....😂
Mzabzab kaa Kwa kutulia,utawaweza ishomile wewe?
Eti Shimba ya Buyenze 😂😂 atawaweza?
😂😂😂no mi sio ishomile,hujanisoma...Alafu nilijua tuu utakuwa ishomile....kumbe wee ni wale ambao mnaelewa chingreza zaidi🤣🤣🤣🤣
Aisee kumbe huku ndio panankfaa yaani nauli natuma fasta tukaloweshe godoro la pale morena😜
WeweAh siendani nalo kabisa
Mie pangu pakavu tu hapa

Nshomile wako poa sana na ukimkuta mwanamke wa kinshomile katulia kweli anatulia. Shida ni haya majigambo na show off za kaka zenu waliosoma Harvard na wanaendesha ma-Rolls-Royce. Wataweza kweli kumheshimu kama shemeji yao hasa ikitokea akawa hana hela za kutosha?aah wapi
Kwamba mie naenda Kwa yoyote atakaetuma?
Hapanaaaa,Kwa anaenihusu....
Mzabzab kaa Kwa kutulia,utawaweza ishomile wewe?
Eti Shimba ya Buyenzeatawaweza?
Siwezi shindwa wewe...wacha nijiseti hapa natuma nauli😂😂😂no mi sio ishomile,hujanisoma...
Ila nauliza utaweza ligi na ishomile ?😂😂😂🚶🚶🚶
Duh huyu baby tin km mie kumbeHuyo ni
Dad's Daughter Haswaa
Ila mpole mwenyewe
Msabato na ni mzuri kinyama
Acha kubana hivyoMamaa wajua Jfnawaogopa kama ukoma lakini
![]()



Hivyo hivyo.Heh ndo kusemaa?
Acha kubana hivyo
Ukoje![]()
Sasa nn?Unacheka kwahio
Nimejiuliza sanaBrooooo?
This hurts![]()

..Hivyo hivyo.