Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂aah wapi
Kwamba mie naenda Kwa yoyote atakaetuma?🤔🙆
Hapanaaaa,Kwa anaenihusu....😂

Mzabzab kaa Kwa kutulia,utawaweza ishomile wewe?
Eti Shimba ya Buyenze 😂😂 atawaweza?
Alafu nilijua tuu utakuwa ishomile....kumbe wee ni wale ambao mnaelewa chingreza zaidi🤣🤣🤣🤣

Aisee kumbe huku ndio panankfaa yaani nauli natuma fasta tukaloweshe godoro la pale morena😜
 
Alafu nilijua tuu utakuwa ishomile....kumbe wee ni wale ambao mnaelewa chingreza zaidi🤣🤣🤣🤣

Aisee kumbe huku ndio panankfaa yaani nauli natuma fasta tukaloweshe godoro la pale morena😜
😂😂😂no mi sio ishomile,hujanisoma...
Ila nauliza utaweza ligi na ishomile ?😂😂😂🚶🚶🚶
 
aah wapi
Kwamba mie naenda Kwa yoyote atakaetuma?
Hapanaaaa,Kwa anaenihusu....

Mzabzab kaa Kwa kutulia,utawaweza ishomile wewe?
Eti Shimba ya Buyenze atawaweza?
Nshomile wako poa sana na ukimkuta mwanamke wa kinshomile katulia kweli anatulia. Shida ni haya majigambo na show off za kaka zenu waliosoma Harvard na wanaendesha ma-Rolls-Royce. Wataweza kweli kumheshimu kama shemeji yao hasa ikitokea akawa hana hela za kutosha?

Binti Abiudi we nshomile kwani?

Sidhani!
 
Back
Top Bottom