Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Nyie kumbe raba yangu ya kuazima ni nzuri? Wallah siirudishi🤣🤣🤣🤣Guu...😍
Guuuu😍😍
Guu la mama mchungaji😍😍
Hiyo raba 🙌🙌
Nyie kumbe raba yangu ya kuazima ni nzuri? Wallah siirudishi🤣🤣🤣🤣Guu...😍
Guuuu😍😍
Guu la mama mchungaji😍😍
Hiyo raba 🙌🙌
SikwendiiiiiiKwendraaaaaaaaaaaaa
Marahabaaaa....Shikamoo zenu nimezipokea kwa heshima zoteHahahah
Pokea shikamoo zetu Babu Shimba

Hapana jirani; yaliyomo hayamoKwa furaha atarukaruka..sio kukimbia jirani
Na picha basiView attachment 2271992
Hahahahaha Zai na nongwa zakeSikwendiiiiii
Nataka nikamroge mume kwa maombi
Hehehe haipatikani hivyo pia 🙂🤣🤣🤣Hahahahh mkuu unapaswa uende nao taratibu.Wanakuheshimu sn,ni rahisi kwako ukitumia km udhaifu
I miss u dear nipo SanaDahumenitajia sophy27 nimetabasamu hapa.Nimemmisi Sana
Majukumu Tu docta yamekuwa mengi siku hizi,alafu nimekuwa mzito wa kushika simu.Ila nashukuru sijambo Mzee wangu
Hapana jmnkahumba inatukuoa .. mnatutenga sana 🤣🤣🤣
Aliciaaaaaaaa🥰🥰🥰View attachment 2272006
Usiku mwema nyoote
Ukirudisha huna bahatii😁Nyie kumbe raba yangu ya kuazima ni nzuri? Wallah siirudishi🤣🤣🤣🤣
Waangaliaji ndio waamuzi jirani...wameshasema.Hapana jirani; yaliyomo hayamo
Nakuona mhenga mwenzangu swalama 🤨Mpendwa![]()
Ngoja na mimi ni-behave kama wakopaji wa siku hizi. Kurudisha kitu ni hadi mwenye mali apige magotiUkirudisha huna bahatii😁
Unazidi kunitukana..Mimi mtoto mdogo?watoto wadogo hawajui kujiongeza si ndio
NimegomaaaHaiwezi kuwa kweli dear hebu geuka nihakikishe🤨😁
Tuliona barua fulani yenye mwandiko wako ikatuvuruga akili mi na mpwa wangu. Mpwa alianza kulia mpaka ikabidi nimdabue kofi ili kumuweka sawa. Na tangia hapo kanywea hata raha hana.Mkwe wew sio mtu mzuribaada ya kuninyima mpwa wako unanikabidhi kwa sato Hirosh
lkn sio mbaya umefnya replacement
😅😅😅 we mkubwa sana kaka handsome 🥰Unazidi kunitukana..Mimi mtoto mdogo?
Asante SanaMarahabaaaa....Shikamoo zenu nimezipokea kwa heshima zote
Ngoja niwatafutie na kapicha niwawekee hapa na mkongojo wangu...
