Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Weee em weka vidole nikukanyage kidogoGuu la Mama Mchungaji
Hata likikukanyaga unabarikiwa tu![]()
Weee em weka vidole nikukanyage kidogoGuu la Mama Mchungaji
Hata likikukanyaga unabarikiwa tu![]()
🤣🤣🤣🤣 Iphone, biblia na kitabu cha tenzi za rohoni.Kumbe mahari yako ni iPhone?
90 yrs haisimami dokta....Hapana docta.Watu wanaoa wakiwa na 90yrs nini 76?

77 🔥🔥 kukamilishwa kwa neema mpya .. Neno linasema mashahidi wawili kuna ila kuna grace hapo new grace maana mwisho unapata tano.. Namba nzuri sana hiyo.. Mungu akafanye jambo jipya sikio likisia liwashweDesemba hii Mungu Akipenda nagonga 77. Mungu ni mwema![]()
Nimecheka hapa dada analazimisha kuolewa, bwana kagoma🤣🤣🤣🤣 Iphone, biblia na kitabu cha tenzi za rohoni.
😂😂😂 Mpe shikamoo yangu na yakoAh madamu anasema hivyo huwezi mbishia
Ni mtu mzima pia
KhaaaaaaaNmsingizi wapi wakati wee ndio umesema unafuatwa na jamaa jana kasema yeye tayari yupo mjini
Ila ulivyonijibu sijapendaMimi sikupi test yoyote![]()
Nitabarikiwa sana mbona?Weee em weka vidole nikukanyage kidogo



Na picha basiView attachment 2271992
Desemba hii Mungu Akipenda nagonga 77. Mungu ni mwema![]()

Amen...77kukamilishwa kwa neema mpya .. Neno linasema mashahidi wawili kuna ila kuna grace hapo new grace maana mwisho unapata tano.. Namba nzuri sana hiyo.. Mungu akafanye jambo jipya sikio likisia liwashwe
Wee ukitumiwa nauli utamfuata tuu mwanaume🤣🤣🤣🤣Khaaaaaaa
Mbona unanilisha maneno jmn
We ndo umesema nimemfuata ,point Yangu ilikuwa simfuati mtu ila nafuatwa,mi mwanamke bwana ,nafuataje mtu ss😂😂😂
Mi sijui km yuko mjini ndo unaniambia🙈🙈😂
Hahahahh mkuu unapaswa uende nao taratibu.Wanakuheshimu sn,ni rahisi kwako ukitumia km udhaifuSatoh Hirosh....
Kule nimeitwa bro...
Huku nimeitwa mkuu...
Kazi ninayo yaani
Mi sijambo T.
Tumshukuru Mungu sis![]()
😂😂😂😂mkuu jf unafikiri unang'oa kirahisi.. nilikuwa naenda kahumba 🤣🤣🤣
kahumba inatukuoa .. mnatutenga sana 🤣🤣🤣😂😂😂😂