Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Maisha ya chuo matamu,
Mwenzio naendaga venue za masters, kutazama wakaka.
Jaman wakaka wazuri hao, afu smart mnooo.
Na wengi wao ni wale tall dark gaizzzzz, weraaaaaah.
Wacha wee shouz..
Mimi nilikuwa nafurahi sana ikifika weekend..nalala.
Kanisani yale mapambio🤭🔥

Kuvuta maji kisimani sasa, nilikuwa expert😂hadi kuna siku nikaota nimedumbukia kisimani..maji yalikuwa chini sana sometimes,,ili kuchota ni lazima uiname uingize kichwa chote.
 
Wacha wee shouz..
Mimi nilikuwa nafurahi sana ikifika weekend..nalala.
Kanisani yale mapambio

Kuvuta maji kisimani sasa, nilikuwa experthadi kuna siku nikaota nimedumbukia kisimani..maji yalikuwa chini sana sometimes,,ili kuchota ni lazima uiname uingize kichwa chote.
kuna mtu alinambia UDOM wanafunzi wanakua na kamba za kuvutia maji, tena wanakua nazo hostel.

Duuuuh. Maji shida woiiiiih.
 
😄😄 kwenye maboresho yao, wameacha kitu muhimu. Editing, mtu aki ku quote imetoka hiyo, hata ufute au ubadirishe haibadiriki. Hii kitu huwa inazingua sijui kwanini wameamua hivi
Kwa upande wangu ni sawa, kwa sababu yaweza kuwa ulimtusi mtu, akakujibu halafu ukarudi kubadili faster, lakini upo sahihi wanaweza kutumia wazo lako lakini pale uki edit, iandike edited
 
kuna mtu alinambia UDOM wanafunzi wanakua na kamba za kuvutia maji, tena wanakua nazo hostel.

Duuuuh. Maji shida woiiiiih.
Mtu mwenye kamba anaheshimika sana kuliko hata mtu mwenye kitu kingine😂😂😂🙌

Siyo Kwa kusomba maji kisimani kule..
Diaba likifika nusu naanza kupata stress.
 
Mtu mwenye kamba anaheshimika sana kuliko hata mtu mwenye kitu kingine

Siyo Kwa kusomba maji kisimani kule..
Diaba likifika nusu naanza kupata stress.
huko nisingeweza, heka heka za usumbufu wa maji nehiiii. Siweziiiiih.
Kwan ningeshindwaa, mie huyu wa kutumia maji sanaaa. Lol
 
Back
Top Bottom