Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

huko nisingeweza, heka heka za usumbufu wa maji nehiiii. Siweziiiiih.
Kwan ningeshindwaa, mie huyu wa kutumia maji sanaaa. Lol
Huwezi?
Utaweza tu ..

Mm nimejifunzia pale kuchota maji kisimani...tena kisima kirefu maji yapo chini kabisa.


Hujabeba kupeleka roomusiombe sasa uwe unakaa gorofani juu

Walinipanga juu nikaandamana..nilikomaa hadi nikapata chumba cha chini.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Huwezi?
Utaweza tu ..

Mm nimejifunzia pale kuchota maji kisimani...tena kisima kirefu maji yapo chini kabisa.


Hujabeba kupeleka roomusiombe sasa uwe unakaa gorofani juu

Walinipanga juu nikaandamana..nilikomaa hadi nikapata chumba cha chini.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Unaweza kujikuta unaota vigimbi miguuni kwa kupanda ngazi
 
Huwezi?
Utaweza tu ..

Mm nimejifunzia pale kuchota maji kisimani...tena kisima kirefu maji yapo chini kabisa.


Hujabeba kupeleka roomusiombe sasa uwe unakaa gorofani juu

Walinipanga juu nikaandamana..nilikomaa hadi nikapata chumba cha chini.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
mie kuvuta naweza, kutoka nayo mbali sio tatizo,
Ila huyu usumbufu wa maji, aaah hapana wee.
Ningekomaa mnooo. Duuuh sasa wanafunzi wanavumilia tyuuh.
 
Sijaona umuhimu wa hiyo feature, haiongezi kitu kwa mtumiaji zaidi inaweza kumtoa kwenye focus. Hizi feature mala nyingi huwa naziona kwenye framework na zinapenda kwa site flani ila sio kwa Jf
Waweke sehemu ya maoni ili tu rate then irudishe feedback, companies kubwa kama youtube wanafanya hivyo, sasa wamekurupuka
 
Back
Top Bottom