Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 4,614
- 10,860
Hiyo sasa ni vita ya maangamizi kabisa😂Sasa mambo ndo hayaaaa.
Hapo sasa ndo uwe na urungu wa kurudisha kizazi nyuma, mbna pambeeeeeeh
![]()
Hiyo sasa ni vita ya maangamizi kabisa😂Sasa mambo ndo hayaaaa.
Hapo sasa ndo uwe na urungu wa kurudisha kizazi nyuma, mbna pambeeeeeeh
![]()
Unajua kuwa wewe ni mdaiwa sugu.Nakulipa sijakataa, lete kwanza hio picha

Huwezi?huko nisingeweza, heka heka za usumbufu wa maji nehiiii. Siweziiiiih.
Kwan ningeshindwaa, mie huyu wa kutumia maji sanaaa. Lol


..
usiombe sasa uwe unakaa gorofani juu 
Sipatii picha wanaolala wawiliIla joto la Dar sio la kulala wawili kitanda ki1, ni matesooooo
![]()

Kuna hii style mtu akiwa ana typeunaona page inaenda up and down, unaionaje?
Unaweza kujikuta unaota vigimbi miguuni kwa kupanda ngaziHuwezi?
Utaweza tu..
Mm nimejifunzia pale kuchota maji kisimani...tena kisima kirefu maji yapo chini kabisa.
Hujabeba kupeleka roomusiombe sasa uwe unakaa gorofani juu
Walinipanga juu nikaandamana..nilikomaa hadi nikapata chumba cha chini.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Huwezi?
Utaweza tu..
Mm nimejifunzia pale kuchota maji kisimani...tena kisima kirefu maji yapo chini kabisa.
Hujabeba kupeleka roomusiombe sasa uwe unakaa gorofani juu
Walinipanga juu nikaandamana..nilikomaa hadi nikapata chumba cha chini.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app




mie kuvuta naweza, kutoka nayo mbali sio tatizo, Hamana cha tofauti diatunawajua nyieeee.
Na bado wanazagamuana, wanachucha jasho hao,Sipatii picha wanaolala wawili
Ila angalau mwezi huu kuna baridi.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app





Wee thubutuuuu, lolHamana cha tofauti dia
Kawaida 😂Unaweza kujikuta unaota vigimbi miguuni kwa kupanda ngazi
Si wanawasha feni,, au wenye AC full burudani.Na bado wanazagamuana, wanachucha jasho hao,
Afadhari sahivi tunapumua, wee.
Unakuta semester nzima maji yametoka mara 2 tu 😂mie kuvuta naweza, kutoka nayo mbali sio tatizo,
Ila huyu usumbufu wa maji, aaah hapana wee.
Ningekomaa mnooo. Duuuh sasa wanafunzi wanavumilia tyuuh.
Waweke sehemu ya maoni ili tu rate then irudishe feedback, companies kubwa kama youtube wanafanya hivyo, sasa wamekurupukaSijaona umuhimu wa hiyo feature, haiongezi kitu kwa mtumiaji zaidi inaweza kumtoa kwenye focus. Hizi feature mala nyingi huwa naziona kwenye framework na zinapenda kwa site flani ila sio kwa Jf
So hatuaminiani?Unajua kuwa wewe ni mdaiwa sugu.
Hebu clear kwanza deni lako ..nikutoe kwenye list ya wadaiwa sugu
Picha nairudia ukinilipa.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Site kama hizi hazi hitaji complication hasa katika upande wa mtumiaji ( user interface ).. hii inatakiwa iwe heavy upande wa backend .. wanaendelea kukuaWaweke sehemu ya maoni ili tu rate then irudishe feedback, companies kubwa kama youtube wanafanya hivyo, sasa wamekurupuka
Nakusoma vyema, ni kweli.Site kama hizi hazi hitaji complication hasa katika upande wa mtumiaji ( user interface ).. hii inatakiwa iwe heavy upande wa backend .. wanaendelea kukua
😉😉So hatuaminiani?
Dawa ya deni ni kulipaSo hatuaminiani?