Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna dawa hivi mie kuna mtu aliniletea kutoka SA, sema imeisha karibuni tyuuh, bhana wee inaumiza ila, unaipaka kwenye meno inakaa km dakika 15 ndo unaanza kusugua,

Aseeeh mabadiliko nimeyaona, meno yangu ni meupe tangu mda, ila baada ya kutumia hii dawa yamezidi kuwa meupe, ndo nahangaika kutafuta madukan.

Napenda mnoo meno kuwa meupe, nafeel Comfortable.
Muagize tena..
Nimekuwa na meno kama watu wa kaskazini 🥺..
 
Muagize tena..
Nimekuwa na meno kama watu wa kaskazini ..
Ndo nimemuambia yeye anakuja August Mwanzoni, sasa wakati nasubir ndo nahangaika kutafuta kwan madukani angalau nijisogeze muda,

Kwa sasa natumia Vigor Doctor OG, sitaki dawa za meno uchwara mie, akaaaah.
 
Back
Top Bottom