myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
Jiraniii....Sina selfie
Jiraniii....Sina selfie
Wazo zuri sanaWeka picha watu wamelala wajumbe tupo wachache hapa![]()
Hahha tangazo la white dent sema unameno mazuri Sana, navopenda kucheka sasa, km tangazo la white dent. Uwiiiiiih.
Najitahidi sana nataka yawe meupe zaidi ya hapa shangazi.
Haaahaaa..Raha ya picha iwekwe hapa
Ukinitumia pm iwe full Mkuu.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Unatumia Nini kuyafanya yawe meupe zaidi?, navopenda kucheka sasa, km tangazo la white dent. Uwiiiiiih.
Najitahidi sana nataka yawe meupe zaidi ya hapa shangazi.
Dada mzuri mwenye shape nzuri






TunasubiriWazo zuri sana
Kajunia katakuwa kambea mnoDada mzuri mwenye shape nzuri
Junia ameosha macho
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app

Kanasema huyu Madam mzuriKajunia katakuwa kambea mno![]()

Hahhaha wote wambea tupu na mamaake


Ambatanisha salamu na Picha Jirani.Salam za weekend..
Junia amechungulia bonge la shepuHahhaha wote wambea tupu na mamaake![]()

Kwakweli aje atuambie mm ninakiherehere Cha kucheka lkn
alafu kunayale ya ukoo iyo sample kila member wa familia anayo nachoka 



Hahah ataota alale sahiz
Mimi yamefubaaKwakweli aje atuambie mm ninakiherehere Cha kucheka lknalafu kunayale ya ukoo iyo sample kila member wa familia anayo nachoka
![]()

Anaona shepu nene,Hahah ataota alale sahiz
Haikuleta kale kamlio



Usiku mwema pia.Usikumwema jamni
Mlale salama