Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Nikikukamata!!...Nipo around....
Nikikukamata!!...Nipo around....
Naunga mkono hoja ndugu Mjumbe.😁😁😁 uzinifu kuisha means wote tuolewe/ men waoe/ uchepukaji usiwepo, hapo ndio tunaweza kumaliza uzinzi/ uzinifu… kitu ambacho sio rahisi kw dunia hii ya sasa…
Ila suala la kugombania bwana Ke kwa ke ni ujinga wa kiwango aisee, ilo linazuilika na kuisha watu tukiamua.
Ukipendwa, pendeka
Ukiachwa, achika
Ukishindwa piga u turn mrudie muumba wako.
Mbona easy tu 😁😁
Wapo wanaoweza shost,, tena wanaweza haswaaa 😁😁😁safi Sana
... Waanzaje gombania m2?
Haipingwi hiyooo.uzinifu kuisha means wote tuolewe/ men waoe/ uchepukaji usiwepo, hapo ndio tunaweza kumaliza uzinzi/ uzinifu… kitu ambacho sio rahisi kw dunia hii ya sasa…
Ila suala la kugombania bwana Ke kwa ke ni ujinga wa kiwango aisee, ilo linazuilika na kuisha watu tukiamua.
Ukipendwa, pendeka
Ukiachwa, achika
Ukishindwa piga u turn mrudie muumba wako.
Mbona easy tu![]()
What’s up jirani?Aisee......
Safari ya wapi?Twendeni Kwa Mwakiswelelo.View attachment 2268729View attachment 2268730
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app




😁😁 we unaweza mambo hizo?Na huu ndo ukubwa. Hongera my jirani
Hahahaaa.. Mbona urungu shos khahh!!! Kwamba Jamaa anakuna unakojoa hadi ubongo auu!!? 😉😜😜😜!! Khakhakhaaaa... wanawake tuna tabu walai!!Si bwana naee, labda huyo bwana urungu wake uwe huja umanya frengaaa, mbna had kudundana tyuuh.![]()
Za kuchambana siwezi my jirani😁😁 we unaweza mambo hizo?
Haha ni hatari sana mambo hayoZa kuchambana siwezi my jirani
Wee Mwanamke nani kakuficha hivo lakini!!Za kuchambana siwezi my jirani
Life no dey sweet o ehI don't care who you are
Where you from or what you do
Just as long as you chasing money
Do what's right never give up on it
Bring it on bring it on
Are you ready unu ready
No matter how you try don't you ever fall
Keep your head up high
And standing tall
Kuuza barafu shosteeSafari ya wapi?![]()
Kuachika inategea jirani.. kuna vitu vingine sio mchezo....What’s up jirani?
Hahaa ukiachika jirani, lia futa machozi, oga then penda mwingine like never before…Kuachika inategea jirani.. kuna vitu vingine sio mchezo....
Sawa jirani.....Hahaa ukiachika jirani, lia futa machozi, oga then penda mwingine like never before…
Hilo gauni dogoTwendeni Kwa Mwakiswelelo.View attachment 2268729View attachment 2268730
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app

Jirani vipi leo huselfiki???Kuachika inategea jirani.. kuna vitu vingine sio mchezo....
So much hustling and bustlingLife no dey sweet o eh
If some people no dey hate..