myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,811
- 721,136
Duh....Invoice za hapa na pale usizikimbie, ndio mapendo hayo 🙂
Duh....Invoice za hapa na pale usizikimbie, ndio mapendo hayo 🙂
Ila wameru chaga pare wanapendea [emoji389][emoji388]Ngoma ya moyoni shem [emoji28][emoji28]
Ndiyo mkuu, au we mams wako hakupagi invoice 😁😁Duh....
Kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora nidili na Mama ntilie tu na wauza uji
Aisee...Ila wameru chaga pare wanapendea [emoji389][emoji388]
Aah wapiInvoice za hapa na pale usizikimbie, ndio mapendo hayo [emoji846]
Sio kweli bablai,Ila wameru chaga pare wanapendea [emoji389][emoji388]
Basi endeleeni kujaza mashemejiAah wapi
Tunakulaga tuBasi endeleeni kujaza mashemeji
Hongereni sana jiraniSio kweli bablai,
Me huyu nampenda kinoma… na nimeanza muelewa kabla hata sijui ka status kokote kumuhusu 😁😁
SafiiiTunakulaga tu
Ahsante sana 😁Hongereni sana jirani
Hii mboga naipenda sana😍
Hivi hapaSafiii
Mkuu mimi nimeshaomba nisamehewe huu msala nakuachia wewe upambane nao....Mbona upo sahihi
Huyo lugha ipo kichwani
Ni anatiririka tu
Namuangalia tu
Na ulivyo tall dark guy… hehe utakusanya sanaHivi hapa
Nikienda mafinga
Nasaka jimama
Lenye mbao zake
Dadek
Huu mkono kama nimeshawahi kuuona sehemu hivi!! [emoji4][emoji4][emoji4]Muwe na j3 njema wana selfikaView attachment 2266246
UsiwazeMkuu mimi nimeshaomba nisamehewe huu msala nakuachia wewe upambane nao....
UmeanzaNa ulivyo tall dark guy… hehe utakusanya sana