Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,230
🤣🤣🤣🤣🤣 ‘sisi ndio tupooNaingia pale pa "what you want Vs what you get".🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 ‘sisi ndio tupooNaingia pale pa "what you want Vs what you get".🤣🤣
Ndiyo tunaopatikana sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ‘sisi ndio tupoo
Ni maumivu moyoni ila unakua hauna namna kutokana na sam situesheni😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 ‘sisi ndio tupoo
Nakutangulizia umbea mmoja 😂mwenyewe utajibu huku simu iko chaji 😂😂😂😂Ukija uje na video azawaiz sijibu... Na venye no blue tick nitakujibu kesho alfajiri nikwambie ndio nimeona text yako saiv😁😁
Tunaanzaga ule utetezi "usimuone hivi, mimi niliangalia future hapa"Ni maumivu moyoni ila unakua hauna namna kutokana na sam situesheni![]()
Ai andastandiiiiii 🤣🤣🤣🤣🤣Ni maumivu moyoni ila unakua hauna namna kutokana na sam situesheni😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nakutangulizia umbea mmoja 😂mwenyewe utajibu huku simu iko chaji 😂😂😂😂
Usimuone hivyo jamani, ni wakili mjue 😄😄 ana kampuni lake la uwakiliTunaanzaga ule utetezi "usimuone hivi, mimi niliangalia future hapa"
You got ka beautiful physical appearance… dj waleteee masley kwiniiiii![]()
Hebu nione kitambi?😅Mie pia nimefanikiwa kupungua kidogo ila kitambi hakitoki kha!!
Daah ukisikia hivyo lazima ucheke kimoyomoyo 🤣🤣Usimuone hivyo jamani, ni wakili mjue 😄😄 ana kampuni lake la uwakili
😂😂😂😂 umeishaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Waaa na si unanijulia vema😂
😂😂😂 huku kiroho kinaumaTunaanzaga ule utetezi "usimuone hivi, mimi niliangalia future hapa"
🤣🤣 anakuja jamani, ila msicheke marafiki zangu 🤣🤣Daah ukisikia hivyo lazima ucheke kimoyomoyo 🤣🤣
Usimuone hivyo jamani, ni wakili mjueana kampuni lake la uwakili

Daah hatari😂😂😂 huku kiroho kinauma
Venye unajua aina ya marafiki ulionao, lazima wakung'ong'e🤣🤣 anakuja jamani, ila msicheke marafiki zangu 🤣🤣
😂😂😂😂 haka kadunia ni kagumu, basi tu
Nimecheka hatari
Neno kama hilo
Limezungumzwa hapa muda huu
Ikabidi nikuangaze
Kuna nguo akivaa ndio utamuelewa vzuri, leo kavaa tu simpo😂😂Usimuone hivyo jamani, ni wakili mjue 😄😄 ana kampuni lake la uwakili
HahahahahahaKuna nguo akivaa ndio utamuelewa vzuri, leo kavaa tu simpo![]()






