Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,796
Umevutiwa na mm [emoji119][emoji119][emoji119]Sio mroho, nimevutiwa tu [emoji4]
Umevutiwa na mm [emoji119][emoji119][emoji119]Sio mroho, nimevutiwa tu [emoji4]
Nyumbani saa 3?? Nenda kwa mwamposa mapemaaaa ukaombewe ,,, mwisho wa kukaa chuo ni saa 12 jioni, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushindweee, mie home huwa narudi 9:00PM always, nikifika ghetto ni kuliangusha tyuuh. Au kuzurura kwa social media.
Maisha ya chuo matamu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] wanikumbusha mbali sana..
Niwacheeeeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyumbani saa 3?? Nenda kwa mwamposa mapemaaaa ukaombewe ,,, mwisho wa kukaa chuo ni saa 12 jioni, [emoji23][emoji23][emoji23]
Emu ilo boko lenye umepikaAcha uroho
QR mkuuMungu anasaidia,,, Hali inaimarika Kwa kiasi chake.. usiwazee nitawabarikiii![]()
Njoo geto ulioneEmu ilo boko lenye umepika
[emoji2][emoji2] mambo mengi Sana... Hasa ukiwa mtu wa vituko.Maisha ya chuo matamu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo mabinti mnapenda pizza bugger chips zegeAaaah genetic nimevutiwa na msosiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan full burudaan, ila mie napendaga kwenda kule venue za masters, bas wakaka wako smart na make handsome, nawazoom wee hadi hoi.[emoji2][emoji2] mambo mengi Sana... Hasa ukiwa mtu wa vituko.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan full burudaan, ila mie napendaga kwenda kule venue za masters, bas wakaka wako smart na make handsome, nawazoom wee hadi hoi.
Ntamic maisha ya chuo niki graduate wallah.
Weee nani kasema??. Mie napenda ngunaaa[emoji849]Tatizo mabinti mnapenda pizza bugger chips zege
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan nna heka heka hatareeeh.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee..
Hahahaaa ngoja nifike home dakika sifuri naweka shos!!Tuwekee selfie hapa shougaa angu
Ndo unatoka shule now?Hahahaaa ngoja nifike home dakika sifuri naweka shos!!