Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Nyumbani saa 3?? Nenda kwa mwamposa mapemaaaa ukaombewe ,,, mwisho wa kukaa chuo ni saa 12 jioni,ushindweee, mie home huwa narudi 9:00PM always, nikifika ghetto ni kuliangusha tyuuh. Au kuzurura kwa social media.



Niwacheeeeee,Nyumbani saa 3?? Nenda kwa mwamposa mapemaaaa ukaombewe ,,, mwisho wa kukaa chuo ni saa 12 jioni,![]()







Emu ilo boko lenye umepikaAcha uroho
QR mkuuMungu anasaidia,,, Hali inaimarika Kwa kiasi chake.. usiwazee nitawabarikiii![]()
Njoo geto ulioneEmu ilo boko lenye umepika
Maisha ya chuo matamu.![]()

mambo mengi Sana... Hasa ukiwa mtu wa vituko.Tatizo mabinti mnapenda pizza bugger chips zegeAaaah genetic nimevutiwa na msosiiii
mambo mengi Sana... Hasa ukiwa mtu wa vituko.




yaan full burudaan, ila mie napendaga kwenda kule venue za masters, bas wakaka wako smart na make handsome, nawazoom wee hadi hoi. yaan full burudaan, ila mie napendaga kwenda kule venue za masters, bas wakaka wako smart na make handsome, nawazoom wee hadi hoi.
Ntamic maisha ya chuo niki graduate wallah.


aisee..Weee nani kasema??. Mie napenda ngunaaaTatizo mabinti mnapenda pizza bugger chips zege

Hahahaaa ngoja nifike home dakika sifuri naweka shos!!Tuwekee selfie hapa shougaa angu
Ndo unatoka shule now?Hahahaaa ngoja nifike home dakika sifuri naweka shos!!