Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Unaonekana upo vizuri kichwan hata hivyo hongera. Akina sie lazima nisome haswaa akili zenyewe hizi
Mie wanasemaga tyuuh nna uwezo wa kukariri, afu tangu vidudu hiyo had leo,

Nikienda library naweza nisisome ni vurugu mwanzo mwisho, sijawahi kukua, akili ikifyatuka, napita mbele naanza kukata viuno bas watu wote hoi, ntaanza kuzurura na kuchokonoa umbea,

Sasa class naokaa nao karibu wana enjoy balaa, lecturer yupo class anatoa madesa, mie nakata viuno huku nimekaa, siku hyo mtu alicheka kwa nguvu,

Nkajikausha kmyaaaa. Uwiiiiih kwa pract sasa fujo zangu. Woiiiiiih.
 
Kuna wengne wanaweza kigheto gheto na yupo mwenyewe anakuambia hivyo ndio anaelewa zaidi kuliko kukaa na group.
Yeah, hivyo ni sawa. Lkn Ile mnaishi group, halafu utake kuweka msuli nondo. Mmh kila mtu ako na ratiba yake. Wengine watakupigia kelele muda ambao ww uko bize na kisomo.
 
Screenshot_20220620-144005.jpg
 
Ghetto gan? Mmmmh sio kihvyooo.
Kuna hyo moja ya ardhi tulikuwa tunakaa nayo nyumba moja oi,,, mchana inazurula usiku unaamka saa 8 ile umeshtuka unaikuta nje imevaa track,, soksi na imejifunika yale manguo ya kimasai inapasua mawimbi
 
Back
Top Bottom