cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,290
Umesahau mojacoca hawazishwi na mtu




huyu kidogo ananifanya miwaze mate.Umesahau mojacoca hawazishwi na mtu




huyu kidogo ananifanya miwaze mate.Mungu anasaidia,,, Hali inaimarika Kwa kiasi chake.. usiwazee nitawabarikiiiMkuu ujapona bado? Utubariki tukuone tusiokufaham

Nyie ndio mnawaletea fujo kina John kisomoMie wanasemaga tyuuh nna uwezo wa kukariri, afu tangu vidudu hiyo had leo,
Nikienda library naweza nisisome ni vurugu mwanzo mwisho, sijawahi kukua, akili ikifyatuka, napita mbele naanza kukata viuno bas watu wote hoi, ntaanza kuzurura na kuchokonoa umbea,
Sasa class naokaa nao karibu wana enjoy balaa, lecturer yupo class anatoa madesa, mie nakata viuno huku nimekaa, siku hyo mtu alicheka kwa nguvu,
Nkajikausha kmyaaaa. Uwiiiiih kwa pract sasa fujo zangu. Woiiiiiih.

Una sup??huyu kidogo ananifanya miwaze mate.
Mie wanasemaga tyuuh nna uwezo wa kukariri, afu tangu vidudu hiyo had leo,
Nikienda library naweza nisisome ni vurugu mwanzo mwisho, sijawahi kukua, akili ikifyatuka, napita mbele naanza kukata viuno bas watu wote hoi, ntaanza kuzurura na kuchokonoa umbea,
Sasa class naokaa nao karibu wana enjoy balaa, lecturer yupo class anatoa madesa, mie nakata viuno huku nimekaa, siku hyo mtu alicheka kwa nguvu,
Nkajikausha kmyaaaa. Uwiiiiih kwa pract sasa fujo zangu. Woiiiiiih.

wanikumbusha mbali sana..kaza msuli, kaza msuli mama. Usitazame Wala kumuogopa mtu.





kabisa kabisaa dea.Kuna hyo moja ya ardhi tulikuwa tunakaa nayo nyumba moja oi,,, mchana inazurula usiku unaamka saa 8 ile umeshtuka unaikuta nje imevaa track,, soksi na imejifunika yale manguo ya kimasai inapasua mawimbi





wee Ghetto labda awepo na yule john kisomo ndo ananifanyaga nisome, pekee yangu mara chache sanaaa. Ndo maan mda mwingi nakua maeneo ya chuo ili nipate appetite ya kusoma.LolSenior bachelor View attachment 2266566

Nna ka ugonjwa flan hv,,, nikionaga kale ka road ka getini ni kama kananivuta vile niende homewee Ghetto labda awepo na yule john kisomo ndo ananifanyaga nisome, pekee yangu mara chache sanaaa. Ndo maan mda mwingi nakua maeneo ya chuo ili nipate appetite ya kusoma.
Wee hebu Jah aaepushe mbali,Una sup??
Huna sup then unaanza kumuwazia mtu,,, acha bangi wewe hebu kula lifeWee hebu Jah aaepushe mbali,
Sup? Si ntaumwa mie lol.
Nehiiiiii sup sio level zangu.
Wee hebu Jah aaepushe mbali,
Sup? Si ntaumwa mie lol.
Nehiiiiii sup sio level zangu.

Acha uroho
Sio mroho, nimevutiwa tuAcha uroho

Nna ka ugonjwa flan hv,,, nikionaga kale ka road ka getini ni kama kananivuta vile niende home






ushindweee, mie home huwa narudi 9:00PM always, nikifika ghetto ni kuliangusha tyuuh. Au kuzurura kwa social media.😂😂😂😂Sielewi hata🤣🤣
Af hujanitumia ile video, nataka niweke status😂
Nyie kuna huyo kaka anakua had na sup 3 afu sasa hawazi wala nn, na akienda September conference anachomoa zote.







