Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mie wanasemaga tyuuh nna uwezo wa kukariri, afu tangu vidudu hiyo had leo,

Nikienda library naweza nisisome ni vurugu mwanzo mwisho, sijawahi kukua, akili ikifyatuka, napita mbele naanza kukata viuno bas watu wote hoi, ntaanza kuzurura na kuchokonoa umbea,

Sasa class naokaa nao karibu wana enjoy balaa, lecturer yupo class anatoa madesa, mie nakata viuno huku nimekaa, siku hyo mtu alicheka kwa nguvu,

Nkajikausha kmyaaaa. Uwiiiiih kwa pract sasa fujo zangu. Woiiiiiih.
Nyie ndio mnawaletea fujo kina John kisomo
 
Mie wanasemaga tyuuh nna uwezo wa kukariri, afu tangu vidudu hiyo had leo,

Nikienda library naweza nisisome ni vurugu mwanzo mwisho, sijawahi kukua, akili ikifyatuka, napita mbele naanza kukata viuno bas watu wote hoi, ntaanza kuzurura na kuchokonoa umbea,

Sasa class naokaa nao karibu wana enjoy balaa, lecturer yupo class anatoa madesa, mie nakata viuno huku nimekaa, siku hyo mtu alicheka kwa nguvu,

Nkajikausha kmyaaaa. Uwiiiiih kwa pract sasa fujo zangu. Woiiiiiih.
wanikumbusha mbali sana..
 
Kuna hyo moja ya ardhi tulikuwa tunakaa nayo nyumba moja oi,,, mchana inazurula usiku unaamka saa 8 ile umeshtuka unaikuta nje imevaa track,, soksi na imejifunika yale manguo ya kimasai inapasua mawimbi
wee Ghetto labda awepo na yule john kisomo ndo ananifanyaga nisome, pekee yangu mara chache sanaaa. Ndo maan mda mwingi nakua maeneo ya chuo ili nipate appetite ya kusoma.
 
wee Ghetto labda awepo na yule john kisomo ndo ananifanyaga nisome, pekee yangu mara chache sanaaa. Ndo maan mda mwingi nakua maeneo ya chuo ili nipate appetite ya kusoma.
Nna ka ugonjwa flan hv,,, nikionaga kale ka road ka getini ni kama kananivuta vile niende home
 
Back
Top Bottom