Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Yaani akina Melo wanatutishia jamani🥺kama nakuona ulivyotamani kuitupa
![]()
Nikawaza nitapata wapi simu nyingine😂.
Huo mlio wautoe aisee,.tunapeana presha bure.
Yaani akina Melo wanatutishia jamani🥺kama nakuona ulivyotamani kuitupa
![]()
Nilijua tu utapitwa🤣Nkamu nimepitwaaaaaa![]()
Wajumbe 😂Wazee wengine Ni pasua kichwa![]()
Wasije wakasingizia watu wa Mbeya ni washamba, kumbe mlio unatutisha..Yaani akina Melo wanatutishia jamani🥺
Nikawaza nitapata wapi simu nyingine😂.
Huo mlio wautoe aisee,.tunapeana presha bure.
Kwa hiyo roho yako imefurahi?Nilijua tu utapitwa🤣
SanaaKwa hiyo roho yako imefurahi?
MfyuuuuuMno..
Watu mnapenda sana stori za hivyo
Halafu Baba mwenyewe nimayemuongelea pale ni Yesu.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Wale wote mliowaza vingine simama tumsifu Bwana wa majeshi.Mfyuuuuu
Karibu Tokyo pampulaUtani huu
Wewe huyu
Mzaliwa wa Tokyo![]()
Mwambie sidanganyiki😂😂😂Ukadhani ubuyu
Huyu Tumsifu nyingi
Amekuzidi asee
@Post M-aloneWale wote mliowaza vingine simama tumsifu Bwana wa majeshi.
Wige asikose hapo.
NitakujaKaribu Tokyo pampula
Una dada ako msomi huku?Nitakuja
Tena mwaliko wa Dada
Msomi
Naachaje sasa
Khaa@Post M-alone
Dada amekolea huku
Kandamizia hapo hapo
