Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Nilipe deni🔥🔥🔥🔥 âš âš
Mrembo Saint Anne
Nilipe deni🔥🔥🔥🔥 âš âš
Mrembo Saint Anne
You Will Never Walk AloneHappy sunday mdogo wangu
Mimi leo nimepiga uzi wa chama letu pendwa #YNWA#


Pole sana, ni mipango ya mungu, sikufahamu ulipungua.Zilikuwa siku za mateso makali.
3 weeks baada ya mzee wangu kufariji..niliisha.
Marahaba mdogo wangu
Mungu ni mwema wakati woteMarahaba mdogo wangu
Bila shaka uko poa una enjoy weekend
Nilipe deni sasa..Pole sana, ni mipango ya mungu, sikufahamu ulipungua.




Kimiminika gani?Kimiminika kile
Kikishamwagikia kunako
Lazima kipagawishe
Habari za jioni
Yaani nakulipa na ziada, narudi mrembo.
Umenipiga chenga mno.Yaani nakulipa na ziada, narudi mrembo.

Kwa hio umenuna?
Nimenuna ila deni lako liko palepale😃Kwa hio umenuna?
Haya kukuche Sasa ...16:19 hiipoapoa kipenzi mi mwenyewe Nalala kidogo mniamshe saa 16:30 niende chama!!
😃Nimenuna ila deni lako liko palepale😃
😉😃
Usinune sasa picha zinakuja nyingi sana
Naona upo unapata neno, safi sana.😉
Jamani umekuja?Nimefika
Si unajua leo mapumziko ndio tuna kimbiza panya na mende
Mzima lakini?
Atakua ametingwa na majukumu atakuja tu ngoja nikamsake aliko mzungu wetu
Strawbella you are needed here
Hebu mwite rafiki yangu nimeishiwa nguvu za kutype hapa

