Selfika na JF: Snap it. Show it

Nyumbani kwetu toka wadogo tumekua tukila zaidi chapati za maji, za kusukuma kuna waliojifunza wenyewe badae kabisa ukubwani. Ni maamuzi tu kutojua kupika chapati sidhani kama ni kesi.
 
Wanatunyanyasa sana tunaotumia App kwanza notifucations zimekata mateso tu.
Hamia kwenye web mdogo wangu hutajuta
Umeamka salama lkn?
Ulimtesa sana yule dokta aiseee bado nafikia ile story hapa navaa viatu vyake naona havinienei kabisa😉
 
Hamia kwenye web mdogo wangu hutajuta
Umeamka salama lkn?
Ulimtesa sana yule dokta aiseee bado nafikia ile story hapa navaa viatu vyake naona havinienei kabisa
Nimeamka salama nashukuru Mungu, sijui wewe

Yule dr alikua na yake tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…