Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,490
I doubt that so called analytical mind of yours
I just used my analytical mind mkuu
I just used my analytical mind mkuu
Unaninyimia pm,unadai imejaa!😓Mekunyima nini eti jamani
Kuna sehemu nilisalimia ile salamu Yao ,akawa anasema mkeka umetick kwa ustadhkwamba??


Nilimezwa na dunia kidogoUlipotelea wapi jamani. ..Nilikumiss maeneo haya


naomba usiniambie kuwa huu nao ni umbea wa code??





Da'Vinci
Umekuaje Auli'i? ?Oohh sasa mbona kama baada ya kubadilisha koti na muandiko nao umebadilika??

doh hiyo mikwara sasa
Hahaha shikamoo.. sio mzee kiivo. Nakubali umenishinda umri
Shikamoo inazeesha uaipende kuamkiwa. Inatia umaskini piaShikamoo paka??
doh hiyo mikwara sasa
Bado kidogo ungekuwa kadada![]()



we si kuna ile moja umetuma sijui mko wawili umeweka emoji ila vidole vyako vikawa vinaonekana
Hivi umeona popote humu picha zangu za vidole au miguu?
Ngoja niishie hapa![]()
Wewe hauoni huo mdomo na macho. Kama kadadaNitakuchapa wewe..
Nashukuru Mungu now sauti imebadirika imekaa kiume zaidi kuliko mwanzo


umenizidi hata mimi uzuri.


.



Yesu wanguwe si kuna ile moja umetuma sijui mko wawili umeweka emoji ila vidole vyako vikawa vinaonekana







akajua umeshasilimu??
Kuna sehemu nilisalimia ile salamu Yao ,akawa anasema mkeka umetick kwa ustadh![]()
Wepi hao?enheee wale wale