Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mie ningekuwa kwenye kamati ya nyimbo tu ila kabla ya kuanza kupiga kaswida ningepiga kwanza ile "dada huyo ameolewa,, mahari ishatolewa.."
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Subiria mume anakuja.
Utaniimbia kwaya..
Qaswida tumuachie mwenyewe zed na wake zake[emoji1787]
 
Kumbe?? Sasa kwanini hukuniambia siku zote?? Kizuri kula na nduguyo dada wewe!! Yaani ulinitambulisha wote ila huyo ukamficha uliogopa nitakuibia!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona aliweka hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamani [emoji23]..huyo mwibe tu mama.
Ila wale wengine tafwadhali [emoji2]
 
Back
Top Bottom