Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,388
- 110,105
Japo ni ukweli ila haya sio mambo mazuri kujisifia mwanaume....Nilipata shida sana kipindi naishi Zanzibar
Wewe hauoni huo mdomo na macho. Kama kadada[emoji13][emoji13][emoji13]umenizidi hata mimi uzuri.[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119].
Inaonekana sauti yako ni ndogo na unaongea kama unatia huruma[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]