Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,557
Japo ni ukweli ila haya sio mambo mazuri kujisifia mwanaume....Nilipata shida sana kipindi naishi Zanzibar
Wewe hauoni huo mdomo na macho. Kama kadadaumenizidi hata mimi uzuri.
.
Inaonekana sauti yako ni ndogo na unaongea kama unatia huruma![]()





.