Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Hata, kitu ambacho hatupendi ni mwanaume mwenzangu anishike tako, aisee tena anifute alipochoma nitampiga ngumi.
Bora mwanamke anichome.
Au kipimo cha tezi dume, bora mwanamke, mwanaume mwenzio mnaweza ishia kuvuragana mpelekwe polisi.






Aiseee
Basi tupo kinyume.
Wengine tunakuwa comfortable kuhudumiwa hiyo huduma na wanawake wenzetu.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app



na mabosi zetu wa mjini vocha tuu sema jingine!!
