Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Nitakusindikiza, japo mimi nitakaa meza ya mbali, nyie muendelee kuoneshana picha live![]()







Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Nitakusindikiza, japo mimi nitakaa meza ya mbali, nyie muendelee kuoneshana picha live![]()







Amin🙏🙏🙏Vizuri kma ukopoa afyayako izidi kuimarika
Hapana sio mie huyo. Ingekuwa mie mbona ninge mgegeda asingetoka salamaHuyo alikuwa ni mzabzab alishahadithia hiko kisa, sema mlikuwa hamjuani, na alifungulia na uzi sema mods waliufunga.
Anafanya revenge madai yake kaingiliwa ndoani 😂Yeah huwa naifuatilia vizuri. Mwanzoni nilikuwa naiignore, siku niliyosema niangalie ndiyo nikajikuta nimeipenda mazima. Inafurahisha, kuhuzunisha na kuelimisha haswa.
Mke mkubwa angechukua tu 50% zake akatulia, sio kwa wizi alioufanya. Teh ila ananyuka pamba sasa hivi, na lile guu la bia
Emu selfika
Noumaaaaaaaah, napenda kazi ya U lecturer niwafaidi vijana wa chuo.Hahahahaha!!










Leo jumamosi napunguza dhambi ujue😂😂😂TRM njoeni 😎 Heaven Sent Strawbella
Maeneo mengine ni ya kuweka mbali na watu.
Mwingine anakuaambia tuone
Unafunua aone...hii ilimkuta ndugu yangu.
Aisee mimi nitamwambia dokta kuwa tatizo lipo kama nilivyokuambia.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app







nyie mbavu zinauma hapa khaaah.Ikawaje shost, tupe kisa hapa.mama usinikumbusheee hawa madokta hawa









mzabzab kumbe yule mwanamke ulimfanyia kipimo kipindi upande wa radioology ni Mahondaw.Kisa gani???? Hahahahaaaa
Ni hatari sana aisee,,Nlivoonaga kwa mara ya kwanza nkampgia na simu bi mkubwa nakumshukuru akabaki anacheka tu
Teh kweli wahenga walikuwa sawa "mficha uchi hazai". Kuna muda utajifunua mwenyewe bila hata kuambiwa![]()









🤣🤣🤣🤣🤣 cha juu kinaelemewa Kidogo 😜😜😜🤔🤔🤔 jiraniiVinashirikiana kufanya kazi..
🤣🤣🤣Hapana sio mie huyo. Ingekuwa mie mbona ninge mgegeda asingetoka salama
Hahah.. komaaa hata hivo wewe jembe shos nakuaminia !!Noumaaaaaaaah, napenda kazi ya U lecturer niwafaidi vijana wa chuo.![]()
Revenge ya kwio. Uzuri wale wake wenzake wote wanapiga kazi shambani; angewaacha waenjoy hata % ya mume wao.Anafanya revenge madai yake kaingiliwa ndoani 😂
Sema wale wake tu wako na miguu karibia wote, ukimtoa tichaa na Tamara.
If I were a man… ningekuwa na Mansion kama ile , na wake zangu wanne tu 😆😆
Weeeh!!Teh kweli wahenga walikuwa sawa "mficha uchi hazai". Kuna muda utajifunua mwenyewe bila hata kuambiwa![]()
Weraaaaaaaaa weraaaaaaahkama ulijuaa huo mgawanyo wa 23% ndio nauwazia hapa
!!
Nishapanda daraja la pili nahio increment watu wauweeeeeeeehhhhh!!!!
Eeh utakuja kunisimulia