Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Vipimo vingine vya kijinga sana,

Kuanza kuchokonoana kizembe aisee!
Ngumu sana.
Nilikuwa napata story chuo, dr wa dispensary ya chuo alikuwa na kamchezo kwa wahanga..
Ana kupima kwa techniques ambazo anajua ataamsha atakavyoamsha..

Kuna madokta wengine hawafati ethics za kazi zao kabisa….

Sasa ukikutwa ndio utajua hujui 😁ni kipimo cha kijinga au nini…
 
Acha tu shos !! Hiko kitengo sio poa kabisaaa!! Nilijikaza aniattend haraka nitoke zangu asijeanzisha balaa pale!!
Akimaliza kuchoma sindano anakufutafuta takoo.

Ila ni ngoma draw..Kuchoma mwanaume sindano ni raha pia..na wasivyopenda kuchunguliwa matakoni,,basi unashika tako lake.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa napata story chuo, dr wa dispensary ya chuo alikuwa na kamchezo kwa wahanga..
Ana kupima kwa techniques ambazo anajua ataamsha atakavyoamsha..

Kuna madokta wengine hawafati ethics za kazi zao kabisa….

Sasa ukikutwa ndio utajua hujui ni kipimo cha kijinga au nini…

Maeneo mengine ni ya kuweka mbali na watu.

Mwingine anakuaambia tuone
Unafunua aone...hii ilimkuta ndugu yangu.


Aisee mimi nitamwambia dokta kuwa tatizo lipo kama nilivyokuambia.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Hahah ...mimi siku moja hivohivo
bana kwenyee x ray ya hapa kwenye nyonga bana sijui ndio dokta wa x ray yuko anataka kufanya taaluma yake nimelala pale kitandani akaanza kunishika huku juu kifuani alihisi shida yangu ya kifua nikamwambia hapana dokta sio huku ni hapa dokta!!
Yani ananiangalia hio x ray huku namuona kabisaaaaa kadindisha imevimba vibaya weeeeeeeehhh niliogopa sana !!
Huyo alikuwa ni mzabzab alishahadithia hiko kisa, sema mlikuwa hamjuani, na alifungulia na uzi sema mods waliufunga.
 
Hahah ...mimi siku moja hivohivo
bana kwenyee x ray ya hapa kwenye nyonga bana sijui ndio dokta wa x ray yuko anataka kufanya taaluma yake nimelala pale kitandani akaanza kunishika huku juu kifuani alihisi shida yangu ya kifua nikamwambia hapana dokta sio huku ni hapa dokta!!
Yani ananiangalia hio x ray huku namuona kabisaaaaa kadindisha imevimba vibaya weeeeeeeehhh niliogopa sana !!
mama usinikumbusheee hawa madokta hawa
 

Maeneo mengine ni ya kuweka mbali na watu.

Mwingine anakuaambia tuone
Unafunua aone...hii ilimkuta ndugu yangu.


Aisee mimi nitamwambia dokta kuwa tatizo lipo kama nilivyokuambia.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Teh kweli wahenga walikuwa sawa "mficha uchi hazai". Kuna muda utajifunua mwenyewe bila hata kuambiwa
 
Akimaliza kuchoma sindano anakufutafuta takoo.

Ila ni ngoma draw..Kuchoma mwanaume sindano ni raha pia..na wasivyopenda kuchunguliwa matakoni,,basi unashika tako lake.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hata, kitu ambacho hatupendi ni mwanaume mwenzangu anishike tako, aisee tena anifute alipochoma nitampiga ngumi.

Bora mwanamke anichome.
Au kipimo cha tezi dume, bora mwanamke, mwanaume mwenzio mnaweza ishia kuvuragana mpelekwe polisi.
 
Back
Top Bottom