Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Aiseee

Basi tupo kinyume.
Wengine tunakuwa comfortable kuhudumiwa hiyo huduma na wanawake wenzetu.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Wanawake!???

😀😀😀😀 tuki vote mie I can’t vote for them aisee, talking with experience!

Nurse na doctors wa kiume mara nyingi wako cool Kuliko KE
 

Aiseee

Basi tupo kinyume.
Wengine tunakuwa comfortable kuhudumiwa hiyo huduma na wanawake wenzetu.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kuna jamaa namfahamu, back in days ni miaka mingi imepita, alinipa story kuna mama wa makamo alikuja hospital njia ya mkojo imeziba, jamaa alikuwa ndio yupo pale, kijana mdogo tena yupo field, njia pekee ni kuchomeka ki bomba kwenye tundu la mkojo.

Yule mama alipoambiwa utaratibu faster sana, nguo ya ndani ipo chini, jamaa akachukua straw akachomeka, akaingiza ndani, mkojo fyuuuuuuuu kwenye chupa, mkojo umebadilika na rangi yaelekea ulikaa muda mrefu.

Yule mama akamuchia na pesa jamaa "mwanangu asante" 😂😂😂

ukitaka matibabu aibu toa, yaani jamaa ananiambia yule mama ki umri anamzaa 😂😂, lakini alikuwa bado mgeni kazini, hopefully ashakuwa mzoefu.
 
Wanawake!???

tuki vote mie I can’t vote for them aisee, talking with experience!

Nurse na doctors wa kiume mara nyingi wako cool Kuliko KE
Yaani huduma nyingine anihudumie mwanaume..
Kuuliza maswali Nini,ila linapokuja suala la sindano na kuchunguliana basi napenda awe mwanamke.

Wanawake wengi tuna roho mbaya hatari.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Revenge ya kwio. Uzuri wale wake wenzake wote wanapiga kazi shambani; angewaacha waenjoy hata % ya mume wao.

Tamara tapeli mkubwa, anachowaza ni kuchop money tu. Pale wake ni Mwiza (ticha) na Tombi. Shupiwe Kila siku "daddy daddy"; sasa hivi Nguzu kafulia hana hata habari. Kweli wakati wa shida yako, ndiyo unawajua walio wako kweli. No wonder Mwiza is his all time favorite wife.
Daddie 🤣🤣🤣🤣✌️✌️🕺💃💃daddie sahivi katelekezwa kwanza, anangoja mambo yakae sawa huba lirudi.

Tichaa yuko vizuri, anamuuliza daddie kama anahitaji pesa 😁😁

Mie nangoja tu anguko la mke mkubwa, amefanya dhuruma nzito. Na yule mtoto wake Ndiyo balaa
 
Back
Top Bottom