Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
AimenYaani nyie wawili hapa ndio kwenu
AimenYaani nyie wawili hapa ndio kwenu
Hahahaha
Hata mimi huniaminii?!
Msinisahau mimi jamani
Nani ananijua etiHahaha sasa nyie si mnajulikana..
Utani gani lakini huu dada
Natania mimi







Hahahhaaa niko napiga gia tu hapa Bajaj yenyewe mbovuu na bosi haelewi anataka hesabu tuMjeda nakusalimia tu mimi
Utani gani lakini huu dada











Acha uongo banaHahahhaaa niko napiga gia tu hapa Bajaj yenyewe mbovuu na bosi haelewi anataka hesabu tu
umeona eenh?? Ni mwendo wa kushukuana tu!!
Saint anne na mimi nakushuku njoo hapa na wewe umtaje unayemshuku








Muulize aisee..mimi manzi akiweka picha hapa bila kushika kikaratasi kilichoandikwa jf ni ngumu kumwamini






























. Ngoja, kwani hata ikiwa ya uwongo wewe unaumia kwanini? Unless kama hii ni dating site. Tofauti na hapo hamna haja ya kuumiza akili
Mjeda ebu acha kunibadilishia gear anganiHahahhaaa niko napiga gia tu hapa Bajaj yenyewe mbovuu na bosi haelewi anataka hesabu tu
Hahhaha hivi mimi kweli au wananzengo walikuwa wanakuita hivyo
Hivi wewe si ulikuwa ukiniita dume kule mwanzo kabisaa?! Nitakuwowa mimi![]()
. Ngoja, kwani hata ikiwa ya uwongo wewe unaumia kwanini? Unless kama hii ni dating site. Tofauti na hapo hamna haja ya kuumiza akili
![]()





waja wana laana aisee yaani humu humu tunabadilishwa hadi jinsia,, wewe itakuwa ni sababu ya jina lako lilivyo..


Mwazoni kabisaa kujiunga humu kila mtu alijua mimi wa kiume! Ilinipa tabu saaana!!
Wengine wakaishia kunipenda!



kumbe na yeye ni mmojawapo??
Hivi wewe si ulikuwa ukiniita dume kule mwanzo kabisaa?! Nitakuwowa mimi![]()