Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Muulize aisee..mimi manzi akiweka picha hapa bila kushika kikaratasi kilichoandikwa jf ni ngumu kumwamini
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]. Ngoja, kwani hata ikiwa ya uwongo wewe unaumia kwanini? Unless kama hii ni dating site. Tofauti na hapo hamna haja ya kuumiza akili[emoji119]
 
Hahaha tunachangamsha tu hapa
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]. Ngoja, kwani hata ikiwa ya uwongo wewe unaumia kwanini? Unless kama hii ni dating site. Tofauti na hapo hamna haja ya kuumiza akili[emoji119]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]waja wana laana aisee yaani humu humu tunabadilishwa hadi jinsia,, wewe itakuwa ni sababu ya jina lako lilivyo..

Nimekumbuka kuna uzi mtu kaanzisha eti ni member gani humu unayetamani kufanya naye mapenzi kuna mtu akajibu humu mwanaume hachelewi kumtaja mtu akidhani ni mwanamke kumbe dume lenzie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwazoni kabisaa kujiunga humu kila mtu alijua mimi wa kiume! Ilinipa tabu saaana!!
Wengine wakaishia kunipenda!
 
Back
Top Bottom