valent
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 664
- 878




utazidi kuwa kibonge uncle.
Ndio maana sitaki kukaa mda bila kupenyeza jicho mtaa huu.

Ulizamapo pm nini mzee baba
Hahahahaha na zile picha zake za kutamanisha na makopa kopa aliyokuwa anawapa mkimsifiaIlibaki kidogo tu mzeemama
Jamani 😂😂 karibu chocolate 😋Ndio maana sitaki kukaa mda bila kupenyeza jicho mtaa huu.![]()
Hehe uncle hutaki niongezeke kidogo?utazidi kuwa kibonge uncle.
hapo tu ulipo ni chibonge tayari halafu uongezeke tena.Hehe uncle hutaki niongezeke kidogo?
Hii ni vice versa uncle? 😂hapo tu ulipo ni chibonge tayari halafu uongezeke tena.
wanakushuku?? Aisee nitaleft



vidole nimeviona ase


utaoza meno jamani



umeona eenh?? Ni mwendo wa kushukuana tu!!Ningefurahia mngeanza kunishuku
Wewe tulia tuu! Unapenda picha kwani unapenda mtu?!Yupi huyo ?
hasije akanitamanisha wakat ni dume kama mimi
HahahahaMuulize aisee..mimi manzi akiweka picha hapa bila kushika kikaratasi kilichoandikwa jf ni ngumu kumwamini