Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
😃😃😃 kuna watu hadi leo chali bado hawaja nyanyuka.. kuna dingi moja lilikuwa kutwa linaenda kula bata Manhattan ... ila mwamba alipukutisha huwezi amini aliuza gari zake zote, hela akamaliza akawa anapiga mzinga hata wa laki moja 😃😃😃 na wapo wengi japo wengine ndio kidogo wanaanza kutoka mavumbini ingawa napo kwa taabu sana🤣🤣🤣🤣🤣umenimbusha alipoingia ngosha kitini miradi mingi ilisimama..
Hali ilibadilika ndani ya mwaka hadi mtu unaogopa kuingia mjini.
Lakini wanaume walipomjulia mambo yakanyooka balaa




