Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dah! Ebu acha niamke nizisake hela.. hii kauli imepiga mahala 😃😃😃😃
Nakuambia ukweli...usipojifunza kuingiza pesa ukiwa umelala utajiuza mkuu🤣🤣🤣
Huoni wanaume wanasaka wanawake waliofanikiwa waolewe?
Tupambane mkuu mwanaume kuolewa ni uduwanzi
 
Kuna haja sana pia kuwekeza kidijitali mkuu, huku tuendako ni pazito sana.
Matajiri wanabadilika.
Utajiri wa bidhaa na ujinga ujinga huo unaanza kitupwa na muda.
Acha tu, Pesa ipo kwenye Tech, hata sasa hivi napambana sana kutoka kwenye sector hiyo.. kazi zinakuwa za mda mrefu unachoka tu.. ila kazi za Tech ni chap.. hasa kama unakuwa na Tech unawauzia watu services unakula pesa yako bila kukwaruzana na watu
 
Acha tu, Pesa ipo kwenye Tech, hata sasa hivi napambana sana kutoka kwenye sector hiyo.. kazi zinakuwa za mda mrefu unachoka tu.. ila kazi za Tech ni chap.. hasa kama unakuwa na Tech unawauzia watu services unakula pesa yako bila kukwaruzana na watu
Ninawaza kuhamishia ofisi nyumbani.
Nimejipa kuwa mwaka huu ni wa mwisho kwenda field na kunyenyekea kazi za watu.
Naachana na kodi ya pango la ofisi, route za town...nikiingia town ni bata tu😅😅
 
Nakuambia ukweli...usipojifunza kuingiza pesa ukiwa umelala utajiuza mkuu🤣🤣🤣
Huoni wanaume wanasaka wanawake waliofanikiwa waolewe?
Tupambane mkuu mwanaume kuolewa ni uduwanzi
😃😃😃😃😃😃 Hela ya kulala inahitaji akili tu, nimefanya hizi kazi za mfumo huu.. ni nzuri sana, ila zimahitaji nidhamu ku grow.. risk ni nyingi sana
 
😃😃😃😃😃😃 Hela ya kulala inahitaji akili tu, nimefanya hizi kazi za mfumo huu.. ni nzuri sana, ila zimahitaji nidhamu ku grow.. risk ni nyingi sana
Nidhamu tu mkuu.
Nina uzoefu na haya makitu kuna kipindi niliwahi kwenda viral kwa hizo kazi.
Sema na kazi za field nazo zilijileta hivyo pakawa na mgongano wa ratiba nikaegemea field zaidi kwani nayo ilikuwa inalipa sana.
 
Ninawaza kuhamishia ofisi nyumbani.
Nimejipa kuwa mwaka huu ni wa mwisho kwenda field na kunyenyekea kazi za watu.
Naachana na kodi ya pango la ofisi, route za town...nikiingia town ni bata tu😅😅
😃😃😃😃 Hili ni neno. Kila la kheri mkuu, mambo ya kulambana lambana miguu sio kabisa. Mie nimejikita sana kwenye tech kuliko miradi.. kuna miradi sehemu nilikuwa naipiga chini ila client wamehaha imebidi nimalizie ila hela yote nimeingiza kwenye Techn.. sasa hivi nimekaa kama kolo ila nauona mwanga baada ya miezi sita
 
Back
Top Bottom