Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 14,020
- 28,069
Ni noma mkuu[emoji91][emoji91]Ehh man vp ni Pisi ya maana ina Tako na kifuani ipo vizur
Ni noma mkuu[emoji91][emoji91]Ehh man vp ni Pisi ya maana ina Tako na kifuani ipo vizur
Nimekuonaaaah!!!Hiyo apo chini kuweka wengi ni uongo haitakuwa poa, japo ni ya zamani sana.
Shos shogako Mie ama ???Shougaa angu wa ukweeeeh, naomba baadae tukutane PM nna jambo naweee,
Serious!!!!!!
Ielezee kwa ufupi tu nasubir mrejesho niondokeNi noma mkuu[emoji91][emoji91]
Na mm nije [emoji41][emoji41]Shougaa angu wa ukweeeeh, naomba baadae tukutane PM nna jambo naweee,
Serious!!!!!!
Pamoja sana[emoji91][emoji91]Aiseeeeeeeh ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Uchebe
Kidevu
Awwwwww!!!!
Ah sawaMovie ni ya kawaida,,, tafuta series walikuwa wanaonyesha bbc. Ziko season 4
Hata mtoto wa mama mkwe sinaga muda wa kununa[emoji1].. nakuchana live mambo yanasonga.. siku nikinuna ujue umenikera sanaaaaaaaaaa, na ukijua jinsi ya kumaliza mnuno tuu, ohooo[emoji23][emoji23] sichelewi kucheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwenye kununa huwa namnunia mtoto wa mama mkwe, ili anibembelezeee.
Kwa wengne hata mnuno hausogei yaan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila hiki kichwa bwana, ni noma.Yani vocha zinanipita picha zinanipita aishiiiiiii [emoji849][emoji849][emoji849]
Mi ukinikera sinuni mama, nakuambia papo hapo. Una hiari usuke au unyoe.. siwezi vimbisha mdomo Mimi siku nzima kisa mtu [emoji16]Yah hakuna maana sema ikitokea hakuna jinsi
Kuna mtu wanakera .. nashukuru Mungu nazidi kujifunza uvumilivu kwa sasa ..
Mimi nanuna sema ni sababu ya mood swings
Nothing else [emoji23]
Basi sawa
Kaka mwaka huu 2022 ni nyota ya bundi tu kwanguIla hiki kichwa bwana, ni noma.
Kwamba unasikitika kila kitu kinakupita?[emoji23]
[emoji119][emoji4]Teeenaaaaaaaaah mambo pambeeeeh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikutumie nini?@QueenDeby nitumie nione
Unanichora au sio? Unajitoa ufahamu eeeh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shos shogako Mie ama ???
Kweli manView attachment 2261621
Kuna watu hata Lita 1 hawamalizi Kwa siku, make sure you drink it [emoji123]
Hello everyone [emoji113]
Akuuuuh.Na mm nije [emoji41][emoji41]