Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,999
- 27,975
Ni noma mkuuEhh man vp ni Pisi ya maana ina Tako na kifuani ipo vizur


Ni noma mkuuEhh man vp ni Pisi ya maana ina Tako na kifuani ipo vizur


Nimekuonaaaah!!!Hiyo apo chini kuweka wengi ni uongo haitakuwa poa, japo ni ya zamani sana.
Shos shogako Mie ama ???Shougaa angu wa ukweeeeh, naomba baadae tukutane PM nna jambo naweee,
Serious!!!!!!



Ielezee kwa ufupi tu nasubir mrejesho niondokeNi noma mkuu![]()
Na mm nijeShougaa angu wa ukweeeeh, naomba baadae tukutane PM nna jambo naweee,
Serious!!!!!!


Ah sawaMovie ni ya kawaida,,, tafuta series walikuwa wanaonyesha bbc. Ziko season 4
Hata mtoto wa mama mkwe sinaga muda wa kununakwenye kununa huwa namnunia mtoto wa mama mkwe, ili anibembelezeee.
Kwa wengne hata mnuno hausogei yaan.![]()
.. nakuchana live mambo yanasonga.. siku nikinuna ujue umenikera sanaaaaaaaaaa, na ukijua jinsi ya kumaliza mnuno tuu, ohooo
sichelewi kuchekaIla hiki kichwa bwana, ni noma.Yani vocha zinanipita picha zinanipita aishiiiiiii![]()

Mi ukinikera sinuni mama, nakuambia papo hapo. Una hiari usuke au unyoe.. siwezi vimbisha mdomo Mimi siku nzima kisa mtuYah hakuna maana sema ikitokea hakuna jinsi
Kuna mtu wanakera .. nashukuru Mungu nazidi kujifunza uvumilivu kwa sasa ..
Mimi nanuna sema ni sababu ya mood swings
Nothing else![]()

Basi sawa
Kaka mwaka huu 2022 ni nyota ya bundi tu kwanguIla hiki kichwa bwana, ni noma.
Kwamba unasikitika kila kitu kinakupita?![]()
Nikutumie nini?@QueenDeby nitumie nione
Unanichora au sio? Unajitoa ufahamu eeeh.Shos shogako Mie ama ???





Kweli manView attachment 2261621
Kuna watu hata Lita 1 hawamalizi Kwa siku, make sure you drink it
Hello everyone![]()
Akuuuuh.Na mm nije![]()