Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20220615_154005_696.jpg

Kuna watu hata Lita 1 hawamalizi Kwa siku, make sure you drink it 💪

Hello everyone ✋
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwenye kununa huwa namnunia mtoto wa mama mkwe, ili anibembelezeee.

Kwa wengne hata mnuno hausogei yaan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mtoto wa mama mkwe sinaga muda wa kununa[emoji1].. nakuchana live mambo yanasonga.. siku nikinuna ujue umenikera sanaaaaaaaaaa, na ukijua jinsi ya kumaliza mnuno tuu, ohooo[emoji23][emoji23] sichelewi kucheka
 
Yah hakuna maana sema ikitokea hakuna jinsi
Kuna mtu wanakera .. nashukuru Mungu nazidi kujifunza uvumilivu kwa sasa ..

Mimi nanuna sema ni sababu ya mood swings
Nothing else [emoji23]
Mi ukinikera sinuni mama, nakuambia papo hapo. Una hiari usuke au unyoe.. siwezi vimbisha mdomo Mimi siku nzima kisa mtu [emoji16]
 
Back
Top Bottom