Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Hahaha wewe MzeeVidole tena...jamani mrembo mmoja ajitokeze aweke pocha ya kwapa lake


Hahaha wewe MzeeVidole tena...jamani mrembo mmoja ajitokeze aweke pocha ya kwapa lake


Tatizo uzur wako unanichanganya sanaHiyo sauti umeisikia wapi jmn![]()
Umechelewa huyo mrembo WiFi angu kaka angu anamiliki chombo hiko
Jamani huyo mrembo mkali ebu mwambie bwana afanye nione huo uzuri wake ambao wengi wanausifia hapaHahaha wewe Mzee![]()
Hehehee, watu wanahonga gari za mil 150, unazungumzia Prado ya mil 40, gari hizi wanawake mjini wanahongwa mnooo, utakuwa ni mshamba kama hujui watu wanahonga gari wanawake, hivi vi ist ndio usiseme. acha ushamba mkuu.





Wanawake wangapi wamefunguliwa miradi ya mamilioni, kama hujawahi kuhongwa usifikiri watu hawahongi, kama unahongwa mwisho vocha ya 1000 hizo ndio level zako mkuu, usifikiri wengine hawahongwi.



Actually bora nibaki single(in ishomile voice)
Upako Wa na level ya vocha sitaki portable mwenzangu
Salama lkn![]()





Wii na wewe upo kwenye level za Vocha??Yesu nitoe kwenye level ya vocha,loo![]()
Usisahau kunitag kwa AlaynaOoh vyema
Wakae tayari
Hapa ulikuwa mjamzito ehhNilishakuwaga huko ila sio sn![]()
Tulia hapo hapo wii..na mie nipate bonge LA baby
Atakaenitunza,na kunijali na kunifungulia miradi ya maana kwakweli,sitaki level za vocha Dada
Post M-alone
Hapana nilimaanisha level ndogo sio ya vochaWii na wewe upo kwenye level za Vocha??
Tutaandamana,kaka aongeze kiwango.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Subiri atatupia tuJamani huyo mrembo mkali ebu mwambie bwana afanye nione huo uzuri wake ambao wengi wanausifia hapa
No mi na mimba hata sijui ikojeHapa ulikuwa mjamzito ehh
Hapa ulikuwa mjamzito ehh
Ndo naongeza kidogo sitaki nizidi kg65Anha sio mbaya
Upo na body nzuri