Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,970
- 35,342
Mama mimi nasema vizuri tu kama haelewi namtolea na mifano kabisa
Hayo ndo mambo
Hakuna kitu kinatesa km kuachwa hewani mama weee

ila sasa lazima na yeye awe vizuri kuna wale hata ukimuelekeza anakuangalia tu




