InshaAllah🙏🙏Upone haraka chief...
Na hutapungukiwa maana Allah kamwe huwa hamtupi mja mtoa sadaka na zaka![]()
Wizo mamboNdio wawe na roho nzuri
Ya kuachia wenzao.
Pm hapana..raha ya vocha itumwe hapa hapa.
Wengi hawayaishi wanayosema humu, cha zaidi ni wame-base kwenye nadharia na sio uhalisia kama usemavyo.



AmenKwa maombi haya @mje inuka uende Bwana amekuponya
UwiiiWizo mambo
Natoka saluni










Umetupiga kamba![]()
Amina🙏🙏Jmn kumbe afya imezingua
Pole sana best
Nakuombea Yesu akuponye na damu ya Yesu inene mema juu yako
Ahsante sana madam boss lady🙏🙏🙏Thats good mr vocha elimu haina mwisho!!
Much congratulations!!👍👍👍👍
Thobotoooooooooo!!! Ikiwekwa humu ni sandakalawe no way!! zikiwekwa labda nikadaka ten zikiwekwa tena naparangana as usual!! Usintanieeee😜😜😉😉!!!Mtumie ubinadamu..
Muwaachie wadogo zenu ambao bado wanahustle.
Mkuu huyu ni Kelsea au ni yule jirani yako??Bwana weeern😬😬😬😬😬 Kelsea anakipenda sana hiki.kiatuView attachment 2260965
Jina limepandisha hadhi yako sio?🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Una akili sana wewe msukuma!!👍👍👍👍
Nywele zangu zikifika hivo naongea kihindiWizo mambo
Natoka saluni
hongera dearMuhimu kujipa likizo aisee..
Wokovu mgumu sana ule chaaa!!
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app







Imeenda poa sijui wewNipo mkwe.
Siku yako imeendaje?