Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
🔥🔥🔥Oya mwanangu Mad Max .. njoo tuchukue watoto wa kishua.. wamenona hatari.. tayari nimeishadaka mmojaView attachment 2260870
🔥🔥🔥Oya mwanangu Mad Max .. njoo tuchukue watoto wa kishua.. wamenona hatari.. tayari nimeishadaka mmojaView attachment 2260870
Pole mkwe ukija niambie nirudieMkwe nilikuambiaje jana? Halafu unafanya tu makusudi. Sawa tu mkwe haina neno ila sijafurahi hata chembe!
View attachment 2260527
Jirani mkwe amekusikia...pengine atakujia na upendeleo maalum, Vumilia jirani![]()
![]()

mkwe kalalamika mnoKajioni haka matoto mazuri mazuri yanayo ng'aa ndio mita yao hii.. kujiongeza muhimu 😃😃😃 maana wa humu hawatutaki kila mmoja ana mtu wake🔥🔥🔥
Ndio mnatusemawanakaza sana, acha wakapambane na kina farao huko.. huku kina Yusufu wanatupotezea



😂😂😂😂 hatari😃😃😃 wanakaza sana, acha wakapambane na kina farao huko.. huku kina Yusufu wanatupotezea
nyie sio mnakasa sana .. bora tuseme ukweli tu😬😬😬Ndio mnatusema![]()
Na wewe hujibu txt pm au umepiga kufuli kabisa 😄Ndio mnatusema![]()
Na wewe hujibu txt pm au umepiga kufuli kabisa![]()
ngoja nikalitoe, ukute future hubby yupo hapa mimi nimekazana na makufuliTaratibu basinyie sio mnakasa sana .. bora tuseme ukweli tu![]()

inaumaaa sanaaaa ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜Taratibu basi![]()






Maji tutaita mmaNa Madelu kapandisha kodi ya mawigi. Na nisivyoyapenda hata kodi ingepanda kwa asilimia 1000 sawa tu
View attachment 2260874
Nipo single.ngoja nikalitoe, ukute future hubby yupo hapa mimi nimekazana na makufuli
Mmh! Na ule uhandsome upo singo kweli weweNipo single.

haya tulia tutajirekebisha