B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,403
Ipigwe lamination kabisa hii comment
Kwani kuweka vocha kuna masharti humu?? Kwamba ni lazima ziende kwa ke??
Kwani kuweka vocha kuna masharti humu?? Kwamba ni lazima ziende kwa ke??
mbombo ngafu!!Jaman hivi huwa hamuoni hata tags ni za ladiez?? Em acheni hizo basi![]()
Nimefatisha tags huwa zinasemaje and ni tunafanya utani tu hapa, siwez pangia nani achukue vocha isitoshe sio mimi ninaeweka hizo vocha humu.Ikishawekwa humu hio ni sandakalawe mdogo wangu!!
Mwili unauma wote mdogo wangu ila sasa niko sawa naendelea poa sanaUnaumwa nini Nkamu?
Pole,Mungu akuponye Rais wetu majobless.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ujanja ni kuza kwa Kassim Majaliwa tu🤣Baba T mie Mwenzio kilaza Naomba unisaidie tujiongezeje ankoo!!
Kama wa kike pigia mstari mkuu😅Ipigwe lamination kabisa hii comment
Unaendeleaje Mr Vocha??? Vipi ulipata Matibabu,??
Rafiki, pole sana.Mwili unauma wote mdogo wangu ila sasa niko sawa naendelea poa sana
Hahahaaa..!!Ipigwe lamination kabisa hii comment
Good to know that bossi wetu wa vocha!!Naendelea poa sana boss lady
Nimepata matibabu
Nashukuru sana 🙏
Hahahaaa..!!
Nafurahi tu kuona kuwa kumbe hata baadhi ya wanaume pia ni ombaomba kama wanavotusema wanawake!!
Nafurahi mnoooo!!
Equation balanced mpunguze kutuchamba sasa!!🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️
Duh! Mie na mbwa tofauti.It feels good when this big boy runs to greet you,,, and when playn fetch View attachment 2260925
Mkuu unaumwa?Naendelea poa sana boss lady
Nimepata matibabu
Nashukuru sana 🙏
Pole.Mwili unauma wote mdogo wangu ila sasa niko sawa naendelea poa sana
Kwanini??Duh! Mie na mbwa tofauti.
Anaitwa nan mbwa wako?



Hakuna namna!! Ila mjue pia kuna wenzenu Wengine humu pia nao wana uhitaji so nashauri msitupendelee wanawake tu !!Ujanja ni kuza kwa Kassim Majaliwa tu🤣
Kama wa kike pigia mstari mkuu😅