Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,796
Ukisikia aibu hautafanikiwa jitoe ufaham tu
Ukisikia aibu hautafanikiwa jitoe ufaham tu
@Tinsley baby[emoji23][emoji23]
Jamaa ana roho ngumu [emoji23]
Unajua hadi wadada sometimes tunaona jau kugombania [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila jamaa yupo kuziuliza kabisa ziwekwe[emoji1787]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hujui kula na big boys rafiki?😂😂😂😂Wewe lini utatupia vocha hapa tupambane?
Vocha hadi wanaume wanagombania..imebidi tuwapishe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hujui kula na big boys rafiki?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
50/50 Ama nene 😜!Usawa wa kijinsia eeh!
Nimecheka sana aisee [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1787] ni vocha tu ama kuna kingine?Nabadil jina najiita kelsea charming
Kabisa mnawadai wanaume wenzenu waweke vocha[emoji23][emoji119][emoji23][emoji119][emoji23][emoji119]Me naungana nae kuzisubiri
Kasema ukiwa na aibu hutafanikiwa [emoji23][emoji23]Jamaa ana roho ngumu [emoji23]
Unajua hadi wadada sometimes tunaona jau kugombania [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila jamaa yupo kuziuliza kabisa ziwekwe[emoji1787]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Tuungane tu Kaka hakuna kuacha vocha kwa ladies mpka kieleweke tuMe naungana nae kuzisubiri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukisikia aibu hautafanikiwa jitoe ufaham tu
Jana usiku Mr. Vocha alirusha za Tigo ukapita nazo chap hata aliyekuwa ametagiwa akazikosa.Me naungana nae kuzisubiri
Nyie mtasababisha tusipewe vocha humu khaaa [emoji2]Me naungana nae kuzisubiri
Kabisa mnawadai wanaume wenzenu waweke vocha[emoji23][emoji119][emoji23][emoji119][emoji23][emoji119]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Dah[emoji1787]Shida iko wapi mama junia [emoji28][emoji28] mbona unafanya dunia kuwa ngumu
Sijui wanaoziweka wanajisikiaje wanaporusha vocha ya 20K halafu inaishia kudakwa na njemba. Sipati picha wanavyosonya na kulaani! [emoji16][emoji16][emoji16]Nyie mtasababishwa tusipewe vocha humu khaaa [emoji2]
Poleni jmn😄😄😄Vocha hadi wanaume wanagombania..imebidi tuwapishe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Dah[emoji1787]
Mimi tu mtoto wa kike naona jau kuwadai watu vocha!
Sasa nyie aisee[emoji23][emoji119][emoji23][emoji119]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Yako iko wapi???🤔Chati na picha