Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,791
Ukisikia aibu hautafanikiwa jitoe ufaham tu
Ukisikia aibu hautafanikiwa jitoe ufaham tu
@Tinsley baby
Jamaa ana roho ngumu
Unajua hadi wadada sometimes tunaona jau kugombania
Ila jamaa yupo kuziuliza kabisa ziwekwe
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hujui kula na big boys rafiki?😂😂😂😂Wewe lini utatupia vocha hapa tupambane?



Vocha hadi wanaume wanagombania..imebidi tuwapisheHujui kula na big boys rafiki?![]()




50/50 Ama nene 😜!Usawa wa kijinsia eeh!
Nimecheka sana aisee![]()
Nabadil jina najiita kelsea charming
ni vocha tu ama kuna kingine?Kabisa mnawadai wanaume wenzenu waweke vochaMe naungana nae kuzisubiri






Kasema ukiwa na aibu hutafanikiwaJamaa ana roho ngumu
Unajua hadi wadada sometimes tunaona jau kugombania
Ila jamaa yupo kuziuliza kabisa ziwekwe
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app


Tuungane tu Kaka hakuna kuacha vocha kwa ladies mpka kieleweke tuMe naungana nae kuzisubiri
Ukisikia aibu hautafanikiwa jitoe ufaham tu





Jana usiku Mr. Vocha alirusha za Tigo ukapita nazo chap hata aliyekuwa ametagiwa akazikosa.Me naungana nae kuzisubiri



Nyie mtasababisha tusipewe vocha humu khaaaMe naungana nae kuzisubiri

DahShida iko wapi mama juniambona unafanya dunia kuwa ngumu





Sijui wanaoziweka wanajisikiaje wanaporusha vocha ya 20K halafu inaishia kudakwa na njemba. Sipati picha wanavyosonya na kulaani!Nyie mtasababishwa tusipewe vocha humu khaaa![]()



Poleni jmn😄😄😄Vocha hadi wanaume wanagombania..imebidi tuwapishe
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Dah
Mimi tu mtoto wa kike naona jau kuwadai watu vocha!
Sasa nyie aisee
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Yako iko wapi???🤔Chati na picha