Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Kapteni usinitanie Mkuu..Saint Anne nimeweka picha nadhani hunidai, picha full kabisa.
Naomba picha .
Kapteni usinitanie Mkuu..Saint Anne nimeweka picha nadhani hunidai, picha full kabisa.
Miaka ya 2014 niliwahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke mmoja mwenye wivu sana alikuwa ni mchepuko mkoa fulani ambako nilienda kikazi , yeye alikuw anatak asione hata namba ya mwanamke yoyote kwenye simu yangu isipokuwa mke wangu tu, na nisipokee simu yoyote baada ya saa mbili usiku, yani alikuwa ni mtu wa kulalamika bila sababu za msingi.Mmmh hapo vyote hakuna Cha afadhali. Mfano kisu kimetua lakini hakijakuua, si wabaki kuteseka na maumivu pia?. Ila watu makatilii, mtoto wa mtu wamfanya hivyo kweli?![]()
Wanajua kama umetoka kufanya mambo yako huko nje na hujaoga si utajulikana?Kwanza waanzaje kukaa tu bila kuoga?. Kuoga kwanza mengine yanafuatia.
Miaka ya 2014 niliwahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke mmoja mwenye wivu sana alikuwa ni mchepuko mkoa fulani ambako nilienda kikazi , yeye alikuw anatak asione hata namba ya mwanamke yoyote kwenye simu yangu isipokuwa mke wangu tu, na nisipokee simu yoyote baada ya saa mbili usiku, yani alikuwa ni mtu wa kulalamika bila sababu za msingi.
Siku moja usiku baada mgogoro wa SMS nikijua tayari nimesha-solve tatizo na kila kitu kitakuwa sawa, ile nimelala usiku nikawa naota kama napigana usingizini ile nakuja kushituka nakuta mto puani mtu kanikalia usoni na mikono kaikandamiza na magoti yake, nikaparangana weh bila mafanikio (alikuwa ni mnene kidogo)........nikakunja mguu kwa nguvu ili nimpige na goti mgongoni nikawa nimefanikiwa maana alipiga ukunga akalegea nikawa nimejitoa.
Nilipomuuliza anadai "bora tufe wote tu, huwezi kunichezea mimi wakati nimejitoa sana kwako".........aiseeh nilimpiga kwa uchungu sana siku hiyo, maana ilikuwa nikitaka kuacha na-emagene jinsi ambavyo ningekuwa kwenye jeneza na jinsi ambavyo familia yangu ingenililia napata hasira na uchungu napiga tena. Asubuhi yake nilimpiga chini sikutaka hata maongezi.
WIVU UKIZIDI SANA ,SIO SALAMA KWENYE MAPENZI....hapo nawaza angeamua kutumia kisu sijui ingekuwaje tu.
Duh!! Nahisi ulitamani ummeze... Kweli kabisa wivu uliozidi ni tatizo katika mahusiano.Miaka ya 2014 niliwahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke mmoja mwenye wivu sana alikuwa ni mchepuko mkoa fulani ambako nilienda kikazi , yeye alikuw anatak asione hata namba ya mwanamke yoyote kwenye simu yangu isipokuwa mke wangu tu, na nisipokee simu yoyote baada ya saa mbili usiku, yani alikuwa ni mtu wa kulalamika bila sababu za msingi.
Siku moja usiku baada mgogoro wa SMS nikijua tayari nimesha-solve tatizo na kila kitu kitakuwa sawa, ile nimelala usiku nikawa naota kama napigana usingizini ile nakuja kushituka nakuta mto puani mtu kanikalia usoni na mikono kaikandamiza na magoti yake, nikaparangana weh bila mafanikio (alikuwa ni mnene kidogo)........nikakunja mguu kwa nguvu ili nimpige na goti mgongoni nikawa nimefanikiwa maana alipiga ukunga akalegea nikawa nimejitoa.
Nilipomuuliza anadai "bora tufe wote tu, huwezi kunichezea mimi wakati nimejitoa sana kwako".........aiseeh nilimpiga kwa uchungu sana siku hiyo, maana ilikuwa nikitaka kuacha na-emagene jinsi ambavyo ningekuwa kwenye jeneza na jinsi ambavyo familia yangu ingenililia napata hasira na uchungu napiga tena. Asubuhi yake nilimpiga chini sikutaka hata maongezi.
WIVU UKIZIDI SANA ,SIO SALAMA KWENYE MAPENZI....hapo nawaza angeamua kutumia kisu sijui ingekuwaje tu.
Angekumaliza ili iwe fundisho kwa wote mnaojidai mna tamaa sana hamtulii na wake zenu tu.Miaka ya 2014 niliwahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke mmoja mwenye wivu sana alikuwa ni mchepuko mkoa fulani ambako nilienda kikazi , yeye alikuw anatak asione hata namba ya mwanamke yoyote kwenye simu yangu isipokuwa mke wangu tu, na nisipokee simu yoyote baada ya saa mbili usiku, yani alikuwa ni mtu wa kulalamika bila sababu za msingi.
Siku moja usiku baada mgogoro wa SMS nikijua tayari nimesha-solve tatizo na kila kitu kitakuwa sawa, ile nimelala usiku nikawa naota kama napigana usingizini ile nakuja kushituka nakuta mto puani mtu kanikalia usoni na mikono kaikandamiza na magoti yake, nikaparangana weh bila mafanikio (alikuwa ni mnene kidogo)........nikakunja mguu kwa nguvu ili nimpige na goti mgongoni nikawa nimefanikiwa maana alipiga ukunga akalegea nikawa nimejitoa.
Nilipomuuliza anadai "bora tufe wote tu, huwezi kunichezea mimi wakati nimejitoa sana kwako".........aiseeh nilimpiga kwa uchungu sana siku hiyo, maana ilikuwa nikitaka kuacha na-emagene jinsi ambavyo ningekuwa kwenye jeneza na jinsi ambavyo familia yangu ingenililia napata hasira na uchungu napiga tena. Asubuhi yake nilimpiga chini sikutaka hata maongezi.
WIVU UKIZIDI SANA ,SIO SALAMA KWENYE MAPENZI....hapo nawaza angeamua kutumia kisu sijui ingekuwaje tu.
Teh teh lakini watu hawakomi kuchepuka Cha kushangaza.Wanajua kama umetoka kufanya mambo yako huko nje na hujaoga si utajulikana?
Wazee wa one night stand![]()
Unaumwa nini Nkamu?Naumwa best
Ahsantee
Nimetafakari haya matukio kushamiri hiki kipindi.Ni afadhali hata kukitwa likisu la moyoni ukiwa umelala kuliko kumwagiwa maji au mafuta ya moto aisee.
Maisha ya hatihati!
Ungekumaliza ili iwe fundisho kwa wote mnaojidai mna tamaa sana hamtulii na wake zenu tu.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app






MichepukoMkeo angebaki mjane kisa mchepuko; watoto wako, wazazi wako........
sina hamu nayo. Inakuharibia familia kabisa. Mume anaaga aenda kikazi wiki. Kumbe ako Kwa mchepuko anakula starehe... Anasuburi aunguzwe na maji ya moto then wewe uje uuguze.Abeeee. Wanasemaga ndiyo nature yao, eti michepuko inaimarisha ndoa.Michepukosina hamu nayo. Inakuharibia familia kabisa. Mume anaaga aenda kikazi wiki. Kumbe ako Kwa mchepuko anakula starehe... Anasuburi aunguzwe na maji ya moto then wewe uje uuguze.
Pole sana, afya yake ya akili haikuwa sawa.Miaka ya 2014 niliwahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke mmoja mwenye wivu sana alikuwa ni mchepuko mkoa fulani ambako nilienda kikazi , yeye alikuw anatak asione hata namba ya mwanamke yoyote kwenye simu yangu isipokuwa mke wangu tu, na nisipokee simu yoyote baada ya saa mbili usiku, yani alikuwa ni mtu wa kulalamika bila sababu za msingi.
Siku moja usiku baada mgogoro wa SMS nikijua tayari nimesha-solve tatizo na kila kitu kitakuwa sawa, ile nimelala usiku nikawa naota kama napigana usingizini ile nakuja kushituka nakuta mto puani mtu kanikalia usoni na mikono kaikandamiza na magoti yake, nikaparangana weh bila mafanikio (alikuwa ni mnene kidogo)........nikakunja mguu kwa nguvu ili nimpige na goti mgongoni nikawa nimefanikiwa maana alipiga ukunga akalegea nikawa nimejitoa.
Nilipomuuliza anadai "bora tufe wote tu, huwezi kunichezea mimi wakati nimejitoa sana kwako".........aiseeh nilimpiga kwa uchungu sana siku hiyo, maana ilikuwa nikitaka kuacha na-emagene jinsi ambavyo ningekuwa kwenye jeneza na jinsi ambavyo familia yangu ingenililia napata hasira na uchungu napiga tena. Asubuhi yake nilimpiga chini sikutaka hata maongezi.
WIVU UKIZIDI SANA ,SIO SALAMA KWENYE MAPENZI....hapo nawaza angeamua kutumia kisu sijui ingekuwaje tu.
Wanajidanganya tuu.. tamaa ndizo zinazowaendesha... Si kaaga mkewe kuwa anaenda kikazi mkoani, kumbe yupo mkoa huo huo. Siku ya siku likatokea fumanizi... Na maji ya moto juu.. mchepuko mbiooooo, si kashaharibu tayari,,, nani abaki tena??.Abeeee. Wanasemaga ndiyo nature yao, eti michepuko inaimarisha ndoa.
Kumwagiwa maji ya moto tena, ilikuwaje???? Afu hapo mke ndiyo unatakiwa umuuguze, na ukute nyumba ilikuwa haikaliki kisa mchepuko....


Tatizo wengi wenu mnajisahau sana kwenye ndoa.Abeeee. Wanasemaga ndiyo nature yao, eti michepuko inaimarisha ndoa.
Kumwagiwa maji ya moto tena, ilikuwaje???? Afu hapo mke ndiyo unatakiwa umuuguze, na ukute nyumba ilikuwa haikaliki kisa mchepuko....
Effort huisha the moment unasema yes i do,,, baada ya hapo wanaona wana assurance that you won't do sh*t hata waharibu kiasi ganiTatizo wengi wenu mnajisahau sana kwenye ndoa.
Anne niachie basi kwanza shati langu, utanichania shati.Kapteni usinitanie Mkuu..
Naomba picha .
Wanajidanganya tuu.. tamaa ndizo zinazowaendesha... Si kaaga mkewe kuwa anaenda kikazi mkoani, kumbe yupo mkoa huo huo. Siku ya siku likatokea fumanizi... Na maji ya moto juu.. mchepuko mbiooooo, si kashaharibu tayari,,, nani abaki tena??.
Mie ndo mana nikisiaga ule wimbo wa zuchu unanitibua sn, sijui hata una maudhui gani.
Hata wanaume mnajisahau sana tu pia. Ni vile tu uzinzi haujahalalishwa kwa wanawake kama ilivyo kwa wanaume.Tatizo wengi wenu mnajisahau sana kwenye ndoa.
Ilikuwa kila nikikumbuka hivyo nashusha kipigo..!Mkeo angebaki mjane kisa mchepuko; watoto wako, wazazi wako........