Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nshomile ni nukseeeeeeeeee
Kasingeee munoooo mjomba kwa kumbariki mrembo wetu Alicia!!!!

Wapi team sukumas
Shimba ya Buyenze Wigelekelo
Nshomiles Vs Sukumas

[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Sukuma kutupambanisha na nshomile utatuonea tu Bosi Ledi. Tupe miaka kama 10 hivi mbele ya safari huko labda [emoji16][emoji16]
 
Hapo Chombo kinapepeaaa juu kwa juu msukuma Fanyeni namna asee!!
Ningekuwa bado kwenye gemu labda ningejaribu kupambana. Nishastaafu rasmi na hizo purukushani na badala yake nimejikita kwenye kutoa ushauri nasaha tu kwa mambo mbalimbali yanayowahangaisha vijana.

Hii kesi wapelekee Wige na Ely. Wameniangusha sana!
 
Ningekuwa bado kwenye gemu labda ningejaribu kupambana. Nishastaafu rasmi na hizo purukushani na badala yake nimejikita kwenye kutoa ushauri nasaha tu kwa mambo mbalimbali yanayowahangaisha vijana.

Hii kesi wapelekee Wige na Ely. Wameniangusha sana!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂 ukute wao ndio wameibuka kidedea huko
msukuma wanafurahiaa tu Kimya Kimya!!!!
 
Back
Top Bottom