Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😀😀 nakuaminia baba pasta
IMG_20220613_162529.jpg
IMG_20220613_162548.jpg
IMG_20220613_162607.jpg
IMG_20220613_162633.jpg


Chagua moja hapo tucheki yaani 😬😬😬😬😬😬 kama tunatoboa au laah..
 
Marahaba binti yangu.

Nina mabinti wengi sana hapa. Tena warembo kweli kweli. Nimechoka kusubiri sasa aisee.
Shangazi Nakazia hilo msukuma!! Selfika ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥!
Hata shangazi hapa amechoka kusubiri Vijana Fanyeni mambooooozzz pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
 
Shangazi Nakazia hilo msukuma!! Selfika ni !
Hata shangazi hapa amechoka kusubiri Vijana Fanyeni mambooooozzz pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Na michango ya harusi haitakuwa shida. Wanaselfika wote hapa tukichanga tunapata hata milioni 20+.

Inshallah mwaka huu usipite bila kuwa na harusi ya wanaselfika!
 
Nshomile ni nshomile tu unaambiwa. Huko ulikokimbilia ndiko kwenye pesa sasa kwa sababu ndiko dunia inakoelekea. Hata kwa ujuzi ulionao sasa hivi ukifika hapa na kujipiga msasa kidogo haki ya nani makampuni watakugombania na pay ni kuanzia $150K+/year plus performance bonuses.

Stanford wanakula sahani moja tu na hao big boys wengine sema tu kila chuo kinajipambanua zaidi kwa program moja au mbili mashuhuri.

Stanford ndo kimetuletea akina Sergey Brin (?) waanzilishi wa Google...
Certification zangu, nilifanga eLearn security, Offensive security, sasa hivi kwa kitu nachotaka kufanya nataka nisogee kwa hizi E-counsil pamoja Isaca na baadhi yao ambao wapo trusted na Gv agency nyingi iki kujisogeza huko
 
Certification zangu, nilifanga eLearn security, Offensive security, sasa hivi kwa kitu nachotaka kufanya nataka nisogee kwa hizi E-counsil pamoja Isaca na baadhi yao ambao wapo trusted na Gv agency nyingi iki kujisogeza huko
Uko vizuri Baba Mchungaji. Mwenyewe ningekuwa bado kijana ningebadili upepo sema sasa miaka imeenda sana. 76 labda nifanye tu kama hobby na kubakia sharp mentally lakini siyo kwa ajili ya kupiga pesa japo pia inawezekana...
 
Uko vizuri Baba Mchungaji. Mwenyewe ningekuwa bado kijana ningebadili upepo sema sasa miaka imeenda sana. 76 labda nifanye tu kama hobby na kubakia sharp mentally lakini siyo kwa ajili ya kupiga pesa japo pia inawezekana...
Saiv mzee ukitaka uingie huko jikite katika kutengeneza COMP VIRUS
 
Uko vizuri Baba Mchungaji. Mwenyewe ningekuwa bado kijana ningebadili upepo sema sasa miaka imeenda sana. 76 labda nifanye tu kama hobby na kubakia sharp mentally lakini siyo kwa ajili ya kupiga pesa japo pia inawezekana...
Tunashukuru Mungu, ametufumbua macho ya kuona tunapo enda. Unaweza fanya una deploy technology unaweka vijana wanafanya kazi unawasimamia unakuwa na ABC zake
 
Back
Top Bottom