Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,160
- 11,214
Ratiba inasema zoez linaisha mwezi wa nane tar 5 kila mtu ashike 50 zakeMtamaliza mwaka..Gairo mji wote umehamia mgodini.. tutayajenga hata kuuza technology kwa wadogo wadogo ni fursa
Ratiba inasema zoez linaisha mwezi wa nane tar 5 kila mtu ashike 50 zakeMtamaliza mwaka..Gairo mji wote umehamia mgodini.. tutayajenga hata kuuza technology kwa wadogo wadogo ni fursa
😄😄😄 bado sana.. maisha bado yanalika ipavyoRatiba inasema zoez linaisha mwezi wa nane tar 5 kila mtu ashike 50 zake
Mdogo wangu huu mwaka utakua TAJIRI WA MAWE lazma uvute lc300,,gairo nakuja ntakuchek namna tuhack michongoMtamaliza mwaka..Gairo mji wote umehamia mgodini.. tutayajenga hata kuuza technology kwa wadogo wadogo ni fursa
😄😄😄😄 labda mna hujumiwaHivi wamama ndio hatupewi zawadi kwani anko??????!!!
😄😄😄😄 huu unyama sanaaa naenda kuweka camp hukoMdogo wangu huu mwaka utakua TAJIRI WA MAWE lazma uvute lc300,,gairo nakuja ntakuchek namna tuhack michongo
Hehe umeshanusa pesa gairo Utanipa updates mzee nikitoka chunya mgodini Ni gairo
Ushunguuuuu mjombaa ushunguuuuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!😄😄😄😄 ukweli shangazi sijui.. itakuwa kila mtu ashinde mechi zake
Pole tuuu shangazi .. atawapa.mrejesho na kitu chake kama atachagua.. acha kabisa kucheza na team nshomile 😄😄😄 tupo serious tuna maanishaUshunguuuuu mjombaa ushunguuuuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
Hakii kila mtu ashinde mechi zake 😉😉!!
Nshomile ni nukseeeeeeeeeePole tuuu shangazi .. atawapa.mrejesho na kitu chake kama atachagua.. acha kabisa kucheza na team nshomile 😄😄😄 tupo serious tuna maanisha
😄😄😄😄😄.. itakuwa wanaanda mashambulizi ya kushtukizaNshomile ni nukseeeeeeeeee
Kasingeee munoooo mjomba kwa kumbariki mrembo wetu Alicia!!!!
Wapi team sukumas
Shimba ya Buyenze Wigelekelo
Nshomiles Vs Sukumas
😜😜😜😜
Sukumas tatizo inaonekana wabahiliiii hapo mbona utaibuka kidedea waitu hapana chezea nshomile Wewe!!😄😄😄😄😄.. itakuwa wanaanda mashambulizi ya kushtukiza
Nilitaka niende km ndo Ivo nimeghairi15 ° c - njombe View attachment 2259487
Whaaat!!😳😍🥰 mpaka nimeshtuka walahView attachment 2259489View attachment 2259490View attachment 2259491View attachment 2259492
Chagua moja hapo tucheki yaani 😬😬😬😬😬😬 kama tunatoboa au laah..
Haa mpaka nimeogopa baba pasta hizo necklace kaliiii 🙌😍Lazima nimchukulie hapo atacho chagua asee.. 😄😄😄 labda aogope
Eeeh! Kawaida kabisa..Whaaat!!😳😍🥰 mpaka nimeshtuka walah
Wow 😍
😊😊😊😊 vitu vizuri vizuri kama hivyo ndio mambo ya Alicia KeysHaa mpaka nimeogopa baba pasta hizo necklace kaliiii 🙌😍
Haa asante sana
Nzuri mnoo jamani ubarikiwe baba pasta wewe ni mtu mzur sana 😍🙏Eeeh! Kawaida kabisa..