cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Kachori tamu, naombaaa
Kachori tamu, naombaaa
Ujanja wote nimeishia MicasaUnafanya patrol mzee 😄😄😄😄
Hadi za kunde??Pika bagia za kunde hizi
Ukifika dukani waambie naomba kunde za kupikia bagia .. zenyewe zinawahi ukilowekaView attachment 2258699

,ngoja tukae kwenye dengu kwanza.Aisee
Aisee naona kisu cha warembo kimetulia juu ya sukari ya warembo🤣🤣🤣🤣Mondays sucks 😖
View attachment 2258708
Utaziweza?Kachori tamu, naombaaa

Huko hukosi kabisa
Yeah za kunde piaHadi za kunde??
Aisee,ngoja tukae kwenye dengu kwanza.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mnaweza ku maintain wenyewee,Viatu virefu changamoto sana.
Mimi huwa siwi huru..Najivalia zangu vifupi, nakuwa huru.
......
Nkamu ,nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipokushukuru...maendeleo ya zoezi letu la socks ni mazuri..japo kuna wiki natega sana.View attachment 2258586View attachment 2258587





Mademu wa hapo wamechakaa sana kimbia faster mzee .. 😄😄😄U
Ujanja wote nimeishia Micasa
TamuuPika bagia za kunde hizi
Ukifika dukani waambie naomba kunde za kupikia bagia .. zenyewe zinawahi ukilowekaView attachment 2258699
Utaziweza?
Najifunza mwenzio..Ganda limekuwa gumu.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app





naomba hivyo hivyo.Mnoooh.Yes dear
Bites nzuri
Man, ninavyofika niliwaona wabovu kingese. Ila sijui nimeanza lewa, nimeanza waelewa.Mademu wa hapo wamechakaa sana kimbia faster mzee .. 😄😄😄
Ufeiiiiiii….Helow
I miss u all