huyu kashavurugwa.
Unaingia ibada mpendwa?Salama[mention]Glenn [/mention] baadae baadae mpendwa...
niwe mkweli, hili jina ni tamu.
Sasa Mahonadw liko kama jina la muke ya muganga![]()
Madam nakusalimu![]()
Utashangaa wajumbe wote watapiga kura ya ndio kuwa Mahondaw ni jina la Kilingeni kwa papa Mshana Jr[/QUOTE]


Narandaranda tu mie hata asili yangu naijua basiiii!!!habari za asubuhi mkuu!!







unashanduka vibaya mnoo.Kabisaa shangazi sema wewe!!Mbona mimi naliona liko poa tu
Lipo unique
Greetings auntie kitambo sana auntie!!I hope uko bien shangazi!!

Nasubiri hapa mrembo
Fanya chap kabla coca hajaamka akija anaambulia manyoya



huyo ananipa mda wowote nikitaka.🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃unashanduka vibaya mnoo.
Usiwaze Badae nitaweka shangazi ngoja nikasali saa nne naingia Church!!Nashukuru Mungu niko poa
Sema ndio napishana na foto zako tu![]()